Mwanafunzi unayejielewa unaanzaje kupata supplementary?

Sometimes umaskini unasababishwa na poverty thinking tulizokuwa nazo.

Ushauri.
Wana JF-anything is possible, is all about you.

N third year sasa Sup haijawah patkana na ni BSc.Civil Engineering.

Chuo fanya kilichokupeleka.
Daima utafanikiwa.

Wqnafunzi inabid waache ushamba wanapoingia chuo.

Taifa linawategemea...Amen
Hongera sana mkuu,waambie hawa vilaza wasome kwa bidii
 
Ila sometimes tusi judge wengine kwa kupata suplimentary, Maana nakumbuka nikiwa nasoma CR wangu wa darasa alipewa suplimentary kisa alibadili ratiba ya lecturer na kumpatia mtu mwingine kipindi cha kufundisha na yeye hakuwepo
 
Inategemeana mkuu na chuo ulichosomea.....half kutokupata supp haimaanishi unajua sana au unajituma sana....mbona kuna watu wa nasoma vzur ila sup wanapata tu....ieleweke tu sup sio kilema....mnaosema kupata sup n uboya ndio wale mnaoamin wale wanaofeli masomo hawana akili....sio Kweli......njooni Muhas muone sup za pathology ,microbiology na physiology ndio mtajua sup sio ugonjwa
Nimesoma MUHAS bro... Karibu tuition
 
Kama baba yako anakulipia ada na hela ya chakula huwezi ipata, ila kama unajitafutia ada mwenyewe na hela ya kula unaparangana mwenyewe unaikosaje sasa?! Na kutokupata supplementary sio assurance ya kupata ajira.
 
Wanafunzi wa siku hizi wapo busy na mambo yao ya ajabu ajabu ambayo hayaendani na Masomo, hivi mwanafunzi unashindwaje kufika 40 au 50?
Ivi we unajisikiaje kumaliza chuo bila sup? Ivi unaijua SUA, muhimbili, ARU to name a few?
Supp ina raha yake wewe
 
Ivi we unajisikiaje kumaliza chuo bila sup? Ivi unaijua SUA, muhimbili, ARU to name a few?
Supp ina raha yake wewe
Kuna watu humu JF ukisoma comments za juu utaona wanasema wamesoma hivyo vyuo na hawakupata supp
 
Kuna watu humu JF ukisoma comments za juu utaona wanasema wamesoma hivyo vyuo na hawakupata supp
One thing to stress upon: tofauti ya GPA na uhalisia wa maisha are quite two different things.
 
Muandika uzi fala tu, supplimentary mbona kitu cha kawaida kwenye shule hata magufuli supp alipigwa huyo
 
Wanafunzi wa siku hizi wapo busy na mambo yao ya ajabu ajabu ambayo hayaendani na Masomo, hivi mwanafunzi unashindwaje kufika 40 au 50?
Ww acha wehu wako!!
Inategemeana unasoma facult gani,kama unasoma uwalimu tena kiswahili na history utasap vp,japo napo itategemeana unaishije na wenzako na Lecturers wako.
Muda mwingine SUP huwa haziepukiki.
ww umekaa ukaona unawashwa washwa na sup ukaona bora uandike ujinga wako huku!

UNAFIKIRI KWANINI WATU WANA GPA KUBWA NA HAWAKUWAHI KUPATA SUP STILL WAPO MTAANI??
JIONGEZE WW! !
 
Back
Top Bottom