cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 649
Sasa apinge nini iwapo alichokitaka kwaajili ya wananchi wa kigoma kinaonekana,wewe na wapingaji wenzio endeleeni na misimamo yenu ya fitinaAkiwa ujiji mjini jana mh.Zito aliyasema hayo kwa jazba kidogo, na akaweka bayana kua anawashangaa wale wanaojiita wapinzani ambao kazi yao ni kumpinga tu Rais Magufuli kwa kisingizio cha kukipinga chama cha CCM.
Zitto sasa kaamua kuonesha rangi yake halisi ni ipi, na ametuaminisha ata yale maneno yake aliyokua anayasema ya kumpinga, kumponda na kumkebei Rais Magufuli tangu mwanzoni mwa mwaka huu yalikua ni ya uongo tu na ya kijinga sasa kashalijua kosa lake? Hahahahaaha yawezekana zitto sio smart kama ambavyo watu wengi tumekua tukimzania, na yawezekana asilimia 100 chadema haikukurupuka kumfukuza.
Zitto jifunze kua na akiba ya maneno ndugu yetu.