Gaganda
Member
- Feb 9, 2017
- 36
- 31
Watu kama hawa huwa wanawashwa nn sijuwi!!Utawajua yaani kutopata sup unajiona kipanga hahaha
Umewah kuwa TO ? ufaul wa chuo huo wa kupeana au unazungmzia upi
Kufaul facult za arts unajiona kipanga hahaha kapige medicine kama utaleta upupu huku kijana
Amesoma kiswahili na history anakuja kuandika wehu WAKE! !
Isitoshe alikuwa anahonga (kama ni wakiume )au alikuwa anahongwa (Kama ni ke )