Ushauri tu kwa Jerry ni kwamba Watanzania si wajinga kama unavyofikiri. Wewe ulivyotuma zile video za traffic wakipokea rushwa katika barabara ya Tunduma, kuna mtu alisema video hizo zilikuwa feki?? You need to be a bit intelligent. Unajishushia heshima kwa maneno yako ya ovyo ovyo siku hizi. Huna watu wanaoweza kukushauri?