Recent content by Gabrier

  1. G

    Wabunge wasipinge TRA kukusanya kodi ya majengo

    Mwanzo TRA walipewa kazi ya kukusanya kodi mapato yakashuka katika halmashaur ya ilala na kinondoni ndo mana kodi ya majengo zikarudi halmashauri cha msingi hzo kodi nashauri zingebaki halmashauri na siasa zikae pembeni...ila mawazo yangu ni halmashaur wangeboresha kitengo cha kodi ya majengo...
  2. G

    Je, Nitaweza kusoma PCB?

    Duh kwa hapo labda pvate na unatakiwa tafta xcul nzuri sana na upge pindi la kufa m2 bila hvyo utaenda poteza mda
  3. G

    Nahitaji gari kutoka Japan

    Garama za ayo magari mpaka yanafika bongo makadirio yanafika kiasi gan kwa sasa
  4. G

    Nahitaji gari kutoka Japan

    Wadau habarini, Nahitaji gari toka nchini Japan. Chaguo ni Mark X , Brevis or Alteza. Je nitenge kiasi gani kwa ajili ya kupata gari aina hizo?
Back
Top Bottom