Mwanzo TRA walipewa kazi ya kukusanya kodi mapato yakashuka katika halmashaur ya ilala na kinondoni ndo mana kodi ya majengo zikarudi halmashauri cha msingi hzo kodi nashauri zingebaki halmashauri na siasa zikae pembeni...ila mawazo yangu ni halmashaur wangeboresha kitengo cha kodi ya majengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.