Kabla hamjaanzisha nyuzi, fanyeni tafiti za kutosha basi tumieni hata Google iwape maarifa madogo madogo kama haya, vinginevyo JF inazidi kuwa Distorted na watu kama nyie.
Tunaomba ulifanyie kazi Waziri wetu mpendwa, lakini pia Muheshimiwa naomba uongeze nguvu kwenye haya maswala ya vibao Kata zilizojaa ushoga wa kila aina mitandaoni Taifa letu linaangamia vibaya sanaa.
Utakua sehemu ya kumbukumbu katika kuokoa kizazi chetu Muheshimiwa.🙏🙏
Kijana napenda sana Nondo zako, Akili kubwa sana ✊️
Vijana wetu wanakesha TikTok kuangalia contents za vichekesho, sijui huwa wanacheka cheka nini, alafu yakiwakuta wanajiliza liza kama Mash...a.
Shenziiiiii.
Salama Mkuu Chivunduuuu (Loi 1997) 😄
Rangi nyeupe haitufai sisi Vijana wenye vurugu, hizi zinawafaa waMama na wazee.
Gari nyeusi/dark blue inavutia zaidi alafu hata ikijaa tope kidogo haioneshi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.