Recent content by G.T.L

  1. G.T.L

    Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za uchi

    Hivi P didy bado hujakamatwa tu aiseee? [emoji1][emoji1][emoji1]
  2. G.T.L

    Hatimaye matapeli umehamia Whatsapp

    Mimi baada ya kunitumia upumbavu wao wa sms nikawaambia wanitumie Hizo zawadi kwanza vinginevyo ntawaF*ck
  3. G.T.L

    Natafuta mwanamke wa kuoa

    Ataweza kukudekeza kweli?
  4. G.T.L

    Naitabiria Yanga mafanikio zaidi ya Simba msimu wa 2023-2024

    Mkuu uliona mbali sana, Big up. Nasubiria utabiri wako baada ya sajili za msimu 2024-2025
  5. G.T.L

    Natafuta mke

    Mkuu, kama upo serious kweli kweli na unamaanisha emu nichek PM nikupe direction moja nzuri utanishukuru. Bare in mind sihitaji chochote toka kwako ila kama ni muhuni tu wa mtaani usinitafte, tutakosana. Sent from my SM-G998U using JamiiForums mobile app
  6. G.T.L

    Makonda naye ametumwa na Rais Samia?

    Emu nitajie Raia mmoja anayefaa kuwa Rais wetu akatufanya tuishi kama Peponi Sent from my SM-G998U using JamiiForums mobile app
  7. G.T.L

    Moyo wangu unavuja damu

    Kanashimi I assure you, HIV is No longer an issue to worry to that extent. Nimehudumia wateja wa HIV for about 8 yrs now. Ninachokijua akilini mwako umejawa simanzi zito ukiwaza kwamba unaenda kumpoteza mama hivi karibuni. Lakini nakuhakikishia haotokuwa hivyo unavyowaza endapo mama ataanza...
  8. G.T.L

    Video za ngono na wasanii ni ndugu?

    Hawa vijana wana njaa kali, huenda wanarecord kusudi alafu wanamtumia huyo dada wa ulaya ili wapewe Pesa
  9. G.T.L

    Naendelea kutoa Somo, vijana msitolee macho pesa za wake zenu

    Kila mtu atumie akili yake kuishi vizuri na mke wake TUSITISHANE bhana, ukiwa na akili ndogo utashindwa kummudu mkeo.
  10. G.T.L

    Bein Sport yatoa ufafanuzi na ushahidi wa goli Tata la Yanga dhidi ya Mamelodi

    Hahahahahahaa Daah aiseee kweli bhana una hoja nzito
  11. G.T.L

    Lady Jay Dee akutana na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika

    Jide anafaa, ana mvuto kwa jamii apewe nafasi agombee ubunge mwakani huko Mara
Back
Top Bottom