Recent content by G.T.L

  1. G.T.L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asha-Rose Migiro: Kuna picha za akili unde na za matukio ya zamani zimeunganishwa na matukio ya Oktoba 29

    Cha kuchekesha ni kwamba, hawajatuonesha hata picha moja ya Raia walioshika bunduki, mapanga, majambia, mikuki na visu. WTF 🤬
  2. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Router ya biashara

    Wakuu. Samahani, naomba mwenye uzoefu zaidi anaweza kunisaidia ni Router ya kampuni gani naweza kupata kwaajili ya biashara ya WiFi kwenye ofisi yangu ambayo mteja atakua analipia either kwa muundo wa kununua vocha or njia yoyote ambayo itaniwezesha ku control mapato hata nikiwa mbali na eneo...
  3. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Utabiri: namuona mwanamke uongozini 2030

    WTF 🤬
  4. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Unadhani kwanini Tanzania hii, safu ya matajiri imetawaliwa na waajemi?

    alafu huwezi kuwaona wakifanya huu upumbavu wa mtu mweusi
  5. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Ni kumbukumbu ipi Rais Samia atatuachia akiondoka madarakani 2030?

    Mjumbe hauawi
  6. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Ni kumbukumbu ipi Rais Samia atatuachia akiondoka madarakani 2030?

    Mbona inasemekana eti hii ndo awamu yake ya kwanza, kwamba anastahili kugombea tena 2030
  7. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Leo nimetimiza umri wa miaka 35, nishauri chochote

    Naamini sasa unaleft kwenye kile chama cha akina dronedrake
  8. G.T.L

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Mnyika: Wanaharakati waanzishe chama chao wasitutegemee CHADEMA

    Mkuu una akili nyingi, nakubaliana na kila mstari wa andiko lako. 🫶
  9. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini Wanaume Hufa Mapema Kuliko Wanawake: Uchambuzi wa Kina wa Kitaalamu

    Hii iko hivyo kwa viumbe vyote
  10. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Kama kila kitu kina faida na hasara zake. Je, kuna faida gani za kuwa masikini?

    Hahahahaahahaha! Chiiiivunduuuuuuuu
  11. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Yupi ni ripota wako bora hapa kwetu unaemkubali katika vita zinazozungumziwa zaidi duniani?

    Hao ni wachambuzi au maReporter tu wa kile kinachotokea? Achana na hao wamarekani na waIran wa Yombo Vituka
  12. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Al Jazeera Walipokuja Kufanya Mazungumzo Tanzania na Mimi 2007 (Dar es Salaam) na 2008 (Tanga)

    Shikamoo Baba, kipindi hicho ulikua chama gani cha siasa na hivi sasa je? Na je, unaonaje mwelekeo wa Nchi yetu kwa sasa? Samahani Baba kwa usumbufu.
  13. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia afanya Uhamisho, Uteuzi na Utenguzi wa nafasi mbalimbali. Angela Kiziga ateuliwa kuwa Mbunge

    Pole sana mkuu wangu, tuvumilie tu hakuna jinsi
  14. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia afanya Uhamisho, Uteuzi na Utenguzi wa nafasi mbalimbali. Angela Kiziga ateuliwa kuwa Mbunge

    Hii habari inachoma Moyo mpaka maini 😑
Back
Top Bottom