Mkuu, kama upo serious kweli kweli na unamaanisha emu nichek PM nikupe direction moja nzuri utanishukuru.
Bare in mind sihitaji chochote toka kwako ila kama ni muhuni tu wa mtaani usinitafte, tutakosana.
Sent from my SM-G998U using JamiiForums mobile app
Kanashimi I assure you, HIV is No longer an issue to worry to that extent.
Nimehudumia wateja wa HIV for about 8 yrs now.
Ninachokijua akilini mwako umejawa simanzi zito ukiwaza kwamba unaenda kumpoteza mama hivi karibuni. Lakini nakuhakikishia haotokuwa hivyo unavyowaza endapo mama ataanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.