Recent content by G.T.L

  1. G.T.L

    Wakuu,kiukweli nikionaga hivi vitu huwa nazimia

    ukiingia Instagram unazimia mara 70 kwa siku
  2. G.T.L

    Mnaomfananisha Mwigulu na Magufuli mnatukosea sana Watanzania

    I second you firmly
  3. G.T.L

    Kwanini chumvi ni hatari katika mwili wa binadamu na si sukari?

    Kabla hamjaanzisha nyuzi, fanyeni tafiti za kutosha basi tumieni hata Google iwape maarifa madogo madogo kama haya, vinginevyo JF inazidi kuwa Distorted na watu kama nyie.
  4. G.T.L

    Waliokufa kabla ya Yesu kuja duniani wataokolewaje?

    Tumsifu Yesu kristo
  5. G.T.L

    Rungwe: 18 wafariki kwa maporomoko

    Braza mkubwa nafurahi kuona upo salama, wale jamaa hawajaanza kukupigia simu za Red flags?
  6. G.T.L

    Mambo madogo madogo ambayo huimarisha upendo kwa wanandoa

    Namba iko wapi nitoe sadaka
  7. G.T.L

    DOKEZO Huyu anayejiita "Russia wa Bongo" anafanya udhalilishaji kupitia mtandaoni. Mamlaka mchukulie hatua

    Tunaomba ulifanyie kazi Waziri wetu mpendwa, lakini pia Muheshimiwa naomba uongeze nguvu kwenye haya maswala ya vibao Kata zilizojaa ushoga wa kila aina mitandaoni Taifa letu linaangamia vibaya sanaa. Utakua sehemu ya kumbukumbu katika kuokoa kizazi chetu Muheshimiwa.🙏🙏
  8. G.T.L

    Pongezi kwenu Single Mothers

    Kijana napenda sana Nondo zako, Akili kubwa sana ✊️ Vijana wetu wanakesha TikTok kuangalia contents za vichekesho, sijui huwa wanacheka cheka nini, alafu yakiwakuta wanajiliza liza kama Mash...a. Shenziiiiii.
  9. G.T.L

    Toyota Vanguard 2012 inauzwa

    Yeah! Kweli na Deep grey ni 😘
  10. G.T.L

    Toyota Vanguard 2012 inauzwa

    VW Touareg V6
  11. G.T.L

    Toyota Vanguard 2012 inauzwa

    Oohooo! Kumbe wamama wa Mujini kama wa Mashariki ya kati 😄😄 Gari bwana iwe Nyeusi au dark blue ni swaaafiiii
  12. G.T.L

    Toyota Vanguard 2012 inauzwa

    Salama Mkuu Chivunduuuu (Loi 1997) 😄 Rangi nyeupe haitufai sisi Vijana wenye vurugu, hizi zinawafaa waMama na wazee. Gari nyeusi/dark blue inavutia zaidi alafu hata ikijaa tope kidogo haioneshi sana.
Back
Top Bottom