Recent content by G.T.L

  1. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Sababu ipi ilikufanya kujiunga JamiiForums? Mimi ni kikao cha Mwitongo, nikiwa na Makongoro na Mkapa December 2014!

    Mimi ilikua Mauaji ya Daudi Mwangosi, 2 September 2012 kijiji cha Nyololo Iringa. Sitosahau kushuhudia Live binadamu mwenzangu anafumuliwa kifua na tumbo kwa bomu la machozi kama Movie ya Predator 1987. WTF 🤬
  2. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Makala ya Spearhead juu ya OCT 29: Ule ni Mradi?

    Braza tunaokuamini ni maelfu ya watu, ukitugeuka na wewe basi tutaamini ngozi nyeusi ni Laana ya milele.
  3. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Ambao tunakesha leo - karibu hapa tuzogoe ☺️

    Nataman kwenda Urusi kumnong'oneza Putin kitu
  4. G.T.L

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto tunazopitia wanafunzi wa Kozi za Afya katika Chuo cha Kolandoto College of Health Science [KCHS]

    Poleni sana watoto wetu kwa hizo changamoto. Hili lazima lifike sehemu husika kwa uchunguzi na ufuatiliaji.
  5. G.T.L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asha-Rose Migiro: Kuna picha za akili unde na za matukio ya zamani zimeunganishwa na matukio ya Oktoba 29

    Cha kuchekesha ni kwamba, hawajatuonesha hata picha moja ya Raia walioshika bunduki, mapanga, majambia, mikuki na visu. WTF 🤬
  6. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Router ya biashara

    Wakuu. Samahani, naomba mwenye uzoefu zaidi anaweza kunisaidia ni Router ya kampuni gani naweza kupata kwaajili ya biashara ya WiFi kwenye ofisi yangu ambayo mteja atakua analipia either kwa muundo wa kununua vocha or njia yoyote ambayo itaniwezesha ku control mapato hata nikiwa mbali na eneo...
  7. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Utabiri: namuona mwanamke uongozini 2030

    WTF 🤬
  8. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Unadhani kwanini Tanzania hii, safu ya matajiri imetawaliwa na waajemi?

    alafu huwezi kuwaona wakifanya huu upumbavu wa mtu mweusi
  9. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Ni kumbukumbu ipi Rais Samia atatuachia akiondoka madarakani 2030?

    Mjumbe hauawi
  10. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Ni kumbukumbu ipi Rais Samia atatuachia akiondoka madarakani 2030?

    Mbona inasemekana eti hii ndo awamu yake ya kwanza, kwamba anastahili kugombea tena 2030
  11. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Leo nimetimiza umri wa miaka 35, nishauri chochote

    Naamini sasa unaleft kwenye kile chama cha akina dronedrake
  12. G.T.L

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Mnyika: Wanaharakati waanzishe chama chao wasitutegemee CHADEMA

    Mkuu una akili nyingi, nakubaliana na kila mstari wa andiko lako. 🫶
  13. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini Wanaume Hufa Mapema Kuliko Wanawake: Uchambuzi wa Kina wa Kitaalamu

    Hii iko hivyo kwa viumbe vyote
Back
Top Bottom