Utabiri: namuona mwanamke uongozini 2030

Utabiri: namuona mwanamke uongozini 2030

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
3,218
Reaction score
5,446
2030 kutakuwa ni vita ya kukata na shoka katika nafasi ya urais itakayopelekea wababe kupigana na kuumizana sana na kuchoka mno na kila mmoja kutotamanika wa kutazamika na mwishoni wa vita hiyo nikasikia sauti ikisema awe huyu na alikuwa ni mwanamke na vita ikaisha hapo na Chama kikaingia uchaguzini wakiwa wamoja na mwanamke huyo akashinda kwa kishindo mno".
 
2030 kutakuwa ni vita ya kukata na shoka katika nafasi ya urais itakayopelekea wababe kupigana na kuumizana sana na kuchoka mno na kila mmoja kutotamanika wa kutazamika na mwishoni wa vita hiyo nikasikia sauti ikisema awe huyu na alikuwa ni mwanamke na vita ikaisha hapo na Chama kikaingia uchaguzini wakiwa wamoja na mwanamke huyo akashinda kwa kishindo mno".
Wewe hautakuwepo.
 
2030 kutakuwa ni vita ya kukata na shoka katika nafasi ya urais itakayopelekea wababe kupigana na kuumizana sana na kuchoka mno na kila mmoja kutotamanika wa kutazamika na mwishoni wa vita hiyo nikasikia sauti ikisema awe huyu na alikuwa ni mwanamke na vita ikaisha hapo na Chama kikaingia uchaguzini wakiwa wamoja na mwanamke huyo akashinda kwa kishindo mno".
20260423_150034.jpg
 
Hii mbona haihitaji utabiri? Mama tunamwongezea miaka 7 aongoze hadi 2037. Kuna kitu kitafanywa pale kwenye katiba. Ndo hitaji la watanzania wengi kwa sasa. Mama Samia anatosha hadi 2037
Mkuu matusi huwa hayakuchoshi, au ushayazoea?

Maana kila comment reply yako ni against na watu tu!

Huwa najiuliza sana ni nini unachokisimamia katika kuvumilia matusi ya raia kwa muda wote!!
 
Mkuu matusi huwa hayakuchoshi, au ushayazoea?

Maana kila comment reply yako ni against na watu tu!

Huwa najiuliza sana ni nini unachokisimamia katika kuvumilia matusi ya raia kwa muda wote!!
Sometimes anakujaga kivingine anarusha mawe upande huo huo sometimes anakuja kivingine anaupambia balaa
 
Hii mbona haihitaji utabiri? Mama tunamwongezea miaka 7 aongoze hadi 2037. Kuna kitu kitafanywa pale kwenye katiba. Ndo hitaji la watanzania wengi kwa sasa. Mama Samia anatosha hadi 2037
Kwa katiba ipi? Ulishawahi kuipitia katiba ya JMT?
 
2030 kutakuwa ni vita ya kukata na shoka katika nafasi ya urais itakayopelekea wababe kupigana na kuumizana sana na kuchoka mno na kila mmoja kutotamanika wa kutazamika na mwishoni wa vita hiyo nikasikia sauti ikisema awe huyu na alikuwa ni mwanamke na vita ikaisha hapo na Chama kikaingia uchaguzini wakiwa wamoja na mwanamke huyo akashinda kwa kishindo mno".
hii mbona ni ramli na sio utabiri gentleman?🐒
 
Mkuu matusi huwa hayakuchoshi, au ushayazoea?

Maana kila comment reply yako ni against na watu tu!

Huwa najiuliza sana ni nini unachokisimamia katika kuvumilia matusi ya raia kwa muda wote!!
Mtu anayetukana hapa JF ni wa kumpuuza kwa sababu nje ya hapa hawezi tamka tusi LIVE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom