sikiliza ushauri wa ndgu zako hasa bint.
Hyo familia yko ndo asili ya damu yako si dhani km wanalengo baya na ww unaweza ukapenda jambo likawa tatizo kwakwo na unaweza ukachukua jambo kumbe ndo heri kwako, mapenz yapo na hyo mwanamme cyo ndo wa mwsho wapo ila waskilize jamaa zako ktk hili.
Hamna lolote hao makada wametufanyia nn? waliokulia ccm na maisha yao yote waliyatumia ccm ambao walikuwa mahiri ktk siasa, ambao hawakuwa kimya ktk siasa na uzoefu ambao hakuna km wao wametufksha wapi taifa letu
Hatutaki kada bora tunataka kiongozi bora..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.