Tanganyikana
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 1,160
- 364
Mwanaume kuwa Mjeda haina tatizo,ila Kumuoa mwanamke Mjeda ndio kuna walakini hapo...!!!
Kweli wanawake hawaeleweki. Si huwa mnasema mnataka security?
For real tho, kama umeamua kupuuza, endelea kupuuza all the way. Ni watu wanaoifanya profession, sio profession kuwafanya watu. Ndio maana wapo hata viongozi wa dini wanaofanya maovu na uchafu kuliko watu wengine.
Jibu yafuatayo nikusaidie!
Una miaka mingapi?
Huna kichaa?
Una elimu gani?
Ulitegemea kuolewa na mwenye kazi gani?
Unafanyia kazi wapi?
Ubikira?
Watakusaidia kuolewa hao ndugu zako au marafiki zako?
Ukileta usenge we unategemea uchekewe tu?
Au unataka mwanaume muelewa, yaani ukirudi umelewa sawa, ukichelewa sawa, semina zisizoisha sawa?
Kwani wewe unataka kuolewa na jeshi au na mwanajeshi..?
Labda tuanzie hapo.
Jibu yafuatayo nikusaidie!
Una miaka mingapi?
Huna kichaa?
Una elimu gani?
Ulitegemea kuolewa na mwenye kazi gani?
Unafanyia kazi wapi?
Ubikira?
Watakusaidia kuolewa hao ndugu zako au marafiki zako?
Ukileta usenge we unategemea uchekewe tu?
Au unataka mwanaume muelewa, yaani ukirudi umelewa sawa, ukichelewa sawa, semina zisizoisha sawa?
Nina boyfriend ambaye soon atakuwa mchumba wangu kwan anataka apeleke posa home na kutoa mahali ili shughuli nyingne ziendelee.Tatizo langu lililonileta hapa ni;
1.Familia yangu pamoja na marafk zangu wako against na progression yake(uanajeshi)na hii inanipa wasiwasi sana though maamzi ni ya kwetu wanasema anaweza badilika na asilimia kubwa ya ndoa nyingi za wanajeshi zimejaa matatizo ....though Mimi nimepuuza naomba Mwenye ujuzi ,ushauri kuhusu hawa watu anijuze/kunipa mwanga nisije kukosea hapa,kwani wanasema kosea yote ila sio kwenye ndoa.
2.Kwa upande wangu namuamin na napuuza hayo mameno lakin roho nyingne inaniambia inabid niwe makini na haya maamz nayokuja kuyafanya since yanahusu maisha yangu.Nawasilisha ushauri wako ni muhimu sanaaa
Smart women marry rich men.Huyo hapana aisee .Utakufa maskini wewe shauri yako.Tafuta mwanaume anaejituma kipesa.Utaishia kukaa gongolamboto wewe okNina boyfriend ambaye soon atakuwa mchumba wangu kwan anataka apeleke posa home na kutoa mahali ili shughuli nyingne ziendelee.Tatizo langu lililonileta hapa ni;
1.Familia yangu pamoja na marafk zangu wako against na progression yake(uanajeshi)na hii inanipa wasiwasi sana though maamzi ni ya kwetu wanasema anaweza badilika na asilimia kubwa ya ndoa nyingi za wanajeshi zimejaa matatizo ....though Mimi nimepuuza naomba Mwenye ujuzi ,ushauri kuhusu hawa watu anijuze/kunipa mwanga nisije kukosea hapa,kwani wanasema kosea yote ila sio kwenye ndoa.
2.Kwa upande wangu namuamin na napuuza hayo mameno lakin roho nyingne inaniambia inabid niwe makini na haya maamz nayokuja kuyafanya since yanahusu maisha yangu.Nawasilisha ushauri wako ni muhimu sanaaa
Jibu yafuatayo nikusaidie!
Una miaka mingapi?
Huna kichaa?
Una elimu gani?
Ulitegemea kuolewa na mwenye kazi gani?
Unafanyia kazi wapi?
Ubikira?
Watakusaidia kuolewa hao ndugu zako au marafiki zako?
Ukileta usenge we unategemea uchekewe tu?
Au unataka mwanaume muelewa, yaani ukirudi umelewa sawa, ukichelewa sawa, semina zisizoisha sawa?
Smart women marry rich men.Huyo hapana aisee .Utakufa maskini wewe shauri yako.Tafuta mwanaume anaejituma kipesa.Utaishia kukaa gongolamboto wewe ok
Nina boyfriend ambaye soon atakuwa mchumba wangu kwan anataka apeleke posa home na kutoa mahali ili shughuli nyingne ziendelee.Tatizo langu lililonileta hapa ni;
1.Familia yangu pamoja na marafk zangu wako against na progression yake(uanajeshi)na hii inanipa wasiwasi sana though maamzi ni ya kwetu wanasema anaweza badilika na asilimia kubwa ya ndoa nyingi za wanajeshi zimejaa matatizo ....though Mimi nimepuuza naomba Mwenye ujuzi ,ushauri kuhusu hawa watu anijuze/kunipa mwanga nisije kukosea hapa,kwani wanasema kosea yote ila sio kwenye ndoa.
2.Kwa upande wangu namuamin na napuuza hayo mameno lakin roho nyingne inaniambia inabid niwe makini na haya maamz nayokuja kuyafanya since yanahusu maisha yangu.Nawasilisha ushauri wako ni muhimu sanaaa