METALFULBRICATOR
Senior Member
- Sep 1, 2015
- 131
- 29
Wale ndugu wote mliochaguliwa DIT kwa fani mbalimbali za shahada ya kwanza mwaka 2015/2016 karibuni tufahamiane hapa.
Karibu mkuu nipo hapa miaka mitatu iliyopita na bado nipo niulize km una chochote
Laboratory Technology wakuu kuanzia tarehe 31 ndani ya nyumba
Kama umechaguliwa Comp.Eng au Telecom Eng.....umepoteeeeeaa
Kwanini?
Walimu wazinguaji,modules kibao kwa semester,Theory kibao kuliko practicals Kikubwa na kibaya zaidi unaweza ukagraduate hujui chochote!!Kwenye suala la ajira ndio sitaki kuzungumza kabisa.
Walimu wazinguaji,modules kibao kwa semester,Theory kibao kuliko practicals……Kikubwa na kibaya zaidi unaweza ukagraduate hujui chochote!!Kwenye suala la ajira ndio sitaki kuzungumza kabisa.
Nilisoma hapo D.I.T. na yote uliyoyaandika ni ya kweli kabisa.
nasikia dit ni wako vizuri kwenye electrical engineering, kuna ukweli kuhusu hilo. Mi pia nimechachaguliwa hWale ndugu wote mliochaguliwa DIT kwa fani mbalimbali za shahada ya kwanza mwaka 2015/2016 karibuni tufahamiane hapa.