Mm n muhitim wa chuo cha veta tang nina level 3 ya MOTOR VEHICLE MECHANICS na nina division 4 kwa masomo ya phys,chem biol,civs islamc knowledg Je nawez kujiung ja fan ya mechanical engineer
ni chuo kizur sana mazingira yake safi wafanyakaz wanajaliwa sana pia vifaa vya kufundishia vipo vya kutosha.pia mkuu wa chuo yupo peace sana
Mm nimesoma pale. Kama mwalimu hakikisha upo vizuri otherwise wewe ndiye Uta disco.
Kuna Dr Masudi Senzia Chief Taaluma na Dr Masika principal. Yaani awana utani pale ni KAZI TU
Kimazingira kipo karibu na Triple A kwa upande wa magharibi...........mashariki kuna Sundowners........kusini ipo Narok.....Kaskazini kuna lodge nzuri sana inaitwa SG........kusini mashariki kuna Pin point......Big L na Picnic.....kaskazini mashariki kuna Ma....o bar........
karibu sana Technical College.........
Kimazingira kipo karibu na Triple A kwa upande wa magharibi...........mashariki kuna Sundowners........kusini ipo Narok.....Kaskazini kuna lodge nzuri sana inaitwa SG........kusini mashariki kuna Pin point......Big L na Picnic.....kaskazini mashariki kuna Ma....o bar........
karibu sana Technical College.........