Recent content by G.O.C

  1. G.O.C

    Tuliomfitinisha Zitto na tuteme mate Chini: Tukumbuke mwisho wa Ubaya aibu!

    Sasa hizo data wanazosema zinamuhusu zinatoka wapi?
  2. G.O.C

    I have no doubt, Dr Nchimbi will bounce back!

    Lakini wameanza kuchukua hatua wenyewe
  3. G.O.C

    Kosa la Lowassa lilikuwa kubwa kuliko la Pinda?

    Jamani ya kaizari tumwachie kaizari!
  4. G.O.C

    Ufoo Saro wa ITV ajeruhiwa kwa risasi, mamake auawa!

    Hizi habari ni za kweli kuhusu huyu Ufosaro
  5. G.O.C

    Carina bei cheap!!

    Carina gain TI au SI au?:confused:
  6. G.O.C

    Job Ndugai ajikakamua kujibu tuhuma za udhaifu wake wa kuongoza bunge

    Jamani tuangalie lugha tunazotumia
  7. G.O.C

    CHADEMA yaigaragaza CCM

    Pooooooooower
  8. G.O.C

    Mwandishi au mwanasiasa mchochezi ni yupi hasa?

    Kwani mwigulu amefanya nn?
  9. G.O.C

    Ray C ampokea Yesu na kubatizwa

    Tushindane /Tuelimishane kwa hoja za msingi
  10. G.O.C

    Ray C ampokea Yesu na kubatizwa

    Jamani mnakoelekea sio pazuri. Msikashifiane kuhusu imani. Tushindane kwa hoja za msingi :confused:
  11. G.O.C

    Kwanini hisa zA CRDB zimeshuka thamani?

    Huyu atakuwa amezoea kiingereza, hata mimi nimeshamwona . Haya subiri huyo muingereza wako :mad:
  12. G.O.C

    Kombati za jeshi la Rwanda zimekutwa Congo baada ya M23 kutelekeza ngome yao

    Duhh! Kuhusu kutekwa kwa askari wetu Mimi sina habari hebu nijuze ndugu yangu ilikuwaje?:confused:
  13. G.O.C

    Kwanini hisa zA CRDB zimeshuka thamani?

    Hisa ni mkusanyiko wa mtaji ambao watu wamechanga na kumpa kampuni au shirika lolote la uwekezaji nchini. Alafu faida inayopatikana inagawanywa kwa wote waliocha na kila mmoja anapata kwa kadiri alivyo changa/mtaji alioweka
Back
Top Bottom