Mbona wewe hujaelezea uzuri wa Eminem anakipi Cha ziada kwenye ubora wake?
Comment za wote unabishana nao wanatoa fact lakini wewe hamna hata moja kazi umebakia kusifia na kupinga bila vigezo.
Huu ni utoto unaleta halafu kama hujui Ubora wa NAS ni vema kubadili ID yako kwanzia leo unaivunjia...
Historia inasema Russia ilikuwa Nchi kubwa sana kwa kila kitu lakini ikaja kupoteza moja ya siraha kubwa zaidi katika maendeleo yake namaanisha Uchumi na Umoja wake kusambaratika.
Baada ya hapo kilichobaki ni kuhakikisha ulinzi wao unaimarika zaidi na ndio sababu leo hii kwenye uchumi...
1974 - The majority shareholding in Magirus Deutz is bought by Fiat V.I. to simplify the creation of a European commercial vehicle group. 1975 - Foundation of the Iveco company. 1980 - Magirus Deutz sells its remaining share in Iveco (18%) to Fiat, and Iveco becomes a 100% subsidiary of Fiat...
Fiat anamiliki 100% ya hisa zote za iveco(tangu 1980) na Fiat huyo huyo anamiliki Jeep(tangu mwaka 2014) hivyo akaziunganisha nguvu zizalishe matoleo kwa pamoja. Yaani kwa kifupi iveco na Jeep zimebaki kama brand name tu basi.
Sent from my PIC-LX9 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.