memael
Senior Member
- Sep 28, 2018
- 104
- 166
Naomba nijue ukweli kwenye JamiiForums wengine wanasema Urusi ni nchi maskini hata Jimbo moja la marekani linazidi nchi kubwa duniani kiuchumi ambayo ni Russia.
Kama Ni hivo kwanini marekani na NATO wenye utajiri mkubwa Sana duniani wanamgwaya Sana Russia kwenye masuala ya kivita
Mfano USA na NATO walipoanza Vita Iran na Russia akaingia kumsaidia Iran USA na NATO walishindwa, pale Venevuela USA alishindwa baada ya URUSI kutia mguu, na sasa hivi Ukraine Marais karibia 30 wenye uchumi mikubwa duania wanaumiza akili zao kwa nchi moja tu, ambayo Wanasema ni maskini.
Je, nauliza ni kweli URUSI ni nchi maskini kama wamagharibi wanavosema?
Kama Ni hivo kwanini marekani na NATO wenye utajiri mkubwa Sana duniani wanamgwaya Sana Russia kwenye masuala ya kivita
Mfano USA na NATO walipoanza Vita Iran na Russia akaingia kumsaidia Iran USA na NATO walishindwa, pale Venevuela USA alishindwa baada ya URUSI kutia mguu, na sasa hivi Ukraine Marais karibia 30 wenye uchumi mikubwa duania wanaumiza akili zao kwa nchi moja tu, ambayo Wanasema ni maskini.
Je, nauliza ni kweli URUSI ni nchi maskini kama wamagharibi wanavosema?