Recent content by Fyangu fyosa

  1. Fyangu fyosa

    Jeshi la anga la Marekani lataka midege 165 zaidi aina ya Bombers

    Canada na USA watatusaidia mikopo na msaada au hujawahi kusikia tangazo mwisho wanamalizia KWANIABA YA WATU WA MAREKANI,halafu hii n international forum na sio makinikini forum
  2. Fyangu fyosa

    Nakosa imani na mbunge wangu, Halima Mdee. Tufanyeje kumuondoa kikatiba?

    hama jimbo nenda kwa lusinde au kwa ndugai kule kuna flyover,barabara zote lami na kuna maziwa na asali kwenye hayo majimbo
  3. Fyangu fyosa

    Trump aiondoa Marekani kwenye mkataba wa Paris

    acha kuifananisha Marekani ni vitu vya kipuuzi
  4. Fyangu fyosa

    Kufaru kipya cha Urusi cha wakosesha usingizi NATO

    M1A1 ABRAHAM vingine n copy
  5. Fyangu fyosa

    Rais John Magufuli anapaswa kuliomba radhi taifa hili

    yaani ni kama nnamuona juma pumba alivyokuwa akigonga meza na kuitikia NDIOOO kipindi miswada ya madini ikipitishwa bungeni tena kwa dharula huku akishangilia kwa kukata kiuno
  6. Fyangu fyosa

    Kama nchi tunahitaji 'overhaul' ya kambi ya upinzani, wamegeuka maadui wa nchi

    M2 alienunua meli mbovu kwa bei ya kuruka na kuhonga nyumba za serekali leo ndio awe msafi na huyohyo wakati mikataba mibovu inapitishwa kwa hati ya dharula bungeni na yeye alishiriki kwa kusema NDIOOO eti leo amekuwa Malaika pumbavu sana na bado Mkataba wa gas mliousini usiku MASHETANI nyie...
  7. Fyangu fyosa

    Dharau za Tundu Lissu kwa sisi Watanzania

    akikujibu unitaarifu ndugu maana n kujitekenya na kucheka wenyewe
  8. Fyangu fyosa

    Madhara ya kusomea British Common Law, yaonekana!

    yaani utengeneze virus wewe kwa miaka zaidi ya 20 bunge kwa kugonga meza na Kusema NDIOOOOO ukiwa kama mbunge na waziri kwa hiyo hiyo mikataba uliyoshiriki kuipitisha Leo una tengeneza Antivirus halafu unataka kutonyesha kwamba ndio unauchungu saana na rasilimali za nchii hii,sishangiliagi...
  9. Fyangu fyosa

    KIBITI: Mwenyekiti wa CCM, Kata ya Mtunda auawa kwa kupigwa risasi

    ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga
  10. Fyangu fyosa

    China yazindua meli kubwa ya kubeba ndege za kivita

    kiongozi samahan hiv kunahistoria yoyote inayoonyesha carrier imewahi kushambuliwa na kuzamishwa?
  11. Fyangu fyosa

    Mkutano wa CUF wa Maalim Seif wavamiwa na watu wenye "mask". Wanachama na waandishi wapata kipigo

    huyo mvamizi waliemzibiti ilitakiwa akatwekichwa ili kesho wengine watakaotumwa kufikiria mara mbili
  12. Fyangu fyosa

    MOSSAD: "A" "BE" na "CHE" ya mashetani wenye ithibati ya mauaji

    mzee you made my day usisahau kunitag, kwenye muendelezo
  13. Fyangu fyosa

    Muhimbili hali ya usalama ni finyu, Gari yaungua na kuteketea bila msaada

    nimeiona clips kwenye acc inst ya kimambi, hadi nnajiuuliza hiv ule moto ungesambaa na kushika jengo tena la Emergency na zima moto wapo ila wamesimama hawafanyi lolote yaan kunahaja za kupitia mfumo wa zima moto na wafanyakaz wa hapo kama wanaufaham n kuzima moto
  14. Fyangu fyosa

    RASMI: Marekani Yaingia North Korea. US Aircraft Carriers Zilizofichwa Singapore Zapelekwa

    naona ma leaser ya marekani yanaingia kwenye combat for the first time naona wakimbizi wa N Korea wakikatiza bahari kuomba ukimbizi kwenye nchi za ulaya
Back
Top Bottom