I have a brother yuko Congo kwenye MONUSCO baada ya hilo tukio at first ilisemekana ni waganda nkawasiliana nae jana kumuuliza akasema askar walioua raia ni WaTz na nikabahatika kuona video ya tukio. Tusipende kuwalaumu ndugu zetu embu tuwaombeeni jaman
Habari wakuu
Naomba kusaidiwa elimu kuhusu hyo app tajwa hapo juu nimeona inahusishwa na mambo ya Bitcoin. Nanukuu
"Hi,
Yellow Card is a safe platform where you can buy or sell supported cryptocurrencies with your local currency.
Here’s a link to sign up for a Yellow Card account.
Yellow Card"...
Wakuu bodi siwaelewi kabisa.
Nilitarajia baada ya makato ya mwezi wa nane ningebaki nadaiwa pesa kidogo kama elfu 70. Lakin nimejaribu kuingia kwenye account yangu ya bodi nimekuta Deni limepungua kwa sh elfu 21 but salary slip inaonyesha nimekatwa kiwango cha siku zote.
Sent from my Infinix...
Mi nikiangalia dashboard ya HELSB pesa imepunguzwa hata mwaka huu but deni kwenye salary slip na dashboard ya account yangu bodi liko tofauti. Salary slip bado liko deni la zaman b4 kuondolewa kwa VRF
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.