Na mimi nimetumiwa meseji hii ILE HELA ITUME KWENYE NAMBA 0743087012. Na nyingine ni 0767161499 Laini yangu inasumbua mpesa. Bila shaka kwa wa
Wale ambao hawana taarifa na utapeli huu watakuwa wameibiwa sana. TCRA wasaidieni watanzania wasiibiwe.
Mimi ni mwl wa chuo kikuu nchini zaidi ya miaka 20. Nimewafundisha wanafunzi kutoka zanzibar. Wengi ni dhaifu sana kwenye masomo. Usiombe upate mwanafunzi wa ku supervise dissertation, hapo ndipo utakapojua uzito wa kazi hiyo. Tuseme kweli wengi ni wadhaifu hata wale waliomaliza na GPA nzuri...
Umesoma wapi na umesoma nini? Kulingana na policy ya sasa minimum gpa ni 3.8. Kwa hiyo una qualify. Kama unaweza soma master degree kupata nafasi inaweza kuwa nyepesi kidogo. Kwa sasa vyuo vingi wanapendelea kuajiri kuanzia master degree.
Hata hivyo nafasi wakati mwingine zinapatikana. Mungu...
Nami niungane na mtu aliyetangulia kusema achana na mpango huo. Kuingilia ndoa ya mtu ni dhambi kubwa, na nina imani malipo yako yanakuja. Unajifariji kwamba unaweza kumvunjia ndoa kwa laki sita. Lakini mimi nakwambia, on the contraly uhai wako unaweza kuwa mashakani. Kama hujui kifo kachungulie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.