Recent content by Fundi kitasa

  1. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tarehe 9 disemba tunaendelea na ukombozi wa nchi,tutaikomboa nchi kwa mara ya 2 kutoka kwa madikteta ya ccm,wakunya tunawashukuru sana kusimama nasi bega kwa bega hii battle kwanza tuiweke pembeni. #D9
  2. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Bado tunasubiria uwekezaji wa $5 bilioni kutoka kwa wawekezaji wa Marekani ambazo kizimkazi alihaidiwa tangu 2021 ,kitumbua kimeingia mchanga
  3. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kuna kipindi nilisema umu reli yetu tukiendelea hvi mpaka ije ifike mwanza,tuongelee 2035 watu wakanibishia umu, hela zilizotumika kwenye uchaguzi huu haramu ni nyingi sana ni kama bajeti ya wizara 2 nyeti
  4. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mpuuzeni huyo mpumbavu
  5. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Lakini sio bongo acha taarifa za uongo broo
  6. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tupo wazee pamoja machawa ndio wamekimbia hawajui watajificha kwenye kichaka kipi
  7. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Siku zote madikteta sauti yao ni moja Hakuna kurudi nyuma mpaka kieleweke
  8. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huyo chawa muacheni atulie alikua anasema Magufuli was worse kushinda mama sasa kajionea laivu,mama ndani ya siku tatu kaua watu wengi kushinda maraisi wote kwa mbali wanakarbiana na mkoloni
  9. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tofautisha upimaji wa viwanja na makazi yaliyopangiliwa,bongo tuna viwanja vilivyopimwa tuu lakini makazi hayajapangiliwa nchi zilizoendelea huwezi kuhamia nyumba haijakamilika ila bongo ni kawaida nyumba hazina sewage system,nyingine hazina maji ila utakuta mtu anaishi ndani na familia yake...
  10. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    I hate to admit but it is best way, watu binafsi kujijengea nyumba so far ndio imetuletea unplanned settlements na ndicho kinaendelea Dodoma sasa, watu wanajenga kiholela tuu ,inabidi tutofautishe mitaa au makazi yaliyopangiliwa na viwanja vilivyopimwa,bongo tuna viwanja vilivyopimwa ila makazi...
  11. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Inabidi Tanzania ifike mahala tukomeshe ujenzi holela, makampuni binafsi yenye uwezo ndio yaruhusiwe kujenga nyumba na kupangilia makazi ya watu na sehemu za bishara,kosa tulilolufanya dar tunalirudia dodoma, makazi ya watu hamna sewage system na green spaces na mengineyo ILA KABLA YA HAYO...
  12. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sikuzi sioni ukikemea utekaji kama enzi za jpm vipi ulilambishwa asali nini
  13. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mimi ndio nawashangaa
  14. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Unataka ujibiwe mara ngapi kwamba chan sio focus ya watu kwa sasa tukitolewa,tusitolewe freshii tuu as long tunapata uchaguzi ulio huru zaidi ya hapo hamna uchaguzi,ueleweshwe mara ngapi
  15. Fundi kitasa

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sisi tunafikiria kujenga metro na subways nyinyi mnafikiria kujenga maghorofa ya watu wachache
Back
Top Bottom