Hela ya mahafali ni kiasi gani mpaka usimlipie mwanao? Suala dogo kama hili unafungua Uzi kweliiiiiiiiiii! Ungelipoti Kwa mamlaka husika lingeisha ila Kwa hili Nina mashaka na jinsia Yako.
Nilichokiandika ni kuwa kwasasa kazi zimejawa na utoto mwingi hna hakuna ubunifu Kama zamani. Nimetolea mfano wa hiyo kazi inaitwa KUBWA KULIKO na kazi nyingine za akina mkojani yaani ni utoto tu ndani yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.