Nilichokiandika ni kuwa kwasasa kazi zimejawa na utoto mwingi hna hakuna ubunifu Kama zamani. Nimetolea mfano wa hiyo kazi inaitwa KUBWA KULIKO na kazi nyingine za akina mkojani yaani ni utoto tu ndani yake.
Kukaa mkiani ni suala la muda tu kijana. Mbona wydad alicheza mechi mbili akawa na point zero kwahiyo ni nafasi ya muda tu lakini utashangaa baada ya round two kuanza.
Hata hufatilii mpira, nenda jukwaa la akina zuchu huko kunakufaa. Mechi nne za nyoko! Tumecheza mechi tatu kijana Kama hujui sio lazima kuanzisha Uzi kaa soma tunazoziandaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.