Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 876
- 4,101
Makam wa Rais amejitokeza hadharani baada ya jana kurejea nchini akitoka nje ya nchi ambapo amekaa huko kwa takribani mwaka mmoja. Akiwa nje hakuna warsha, mkutano wala kongamano aliloonekana kushiriki. Hali hii ilipelekea wananchi kuibua sintofahamu juu ya afya yake.
Katika mipango ya ndani ya system wanaweza wakawa sahihi kukaa kimya na taarifa za alipokuwa Makamu wa Rais. Ila kwa hitaji la Dunia sasa hivi hakuna siri ndio maana hata viongozi wa Mataifa makubwa wanapokwenda kwenye secret mision soon taarifa zinavuja.
Lakini huyu mtu analipwa na kodi za wananchi na anatoka kwa wananchi hivyo lazima wananchi wafahamu anafanya nini. Cha tatu huyu ni binadamu ambayo uhai wake ni periority, watu wangependa kufahamu amepatwa na nini?
Mwisho, naomba kufahamu , ni sahihi kuficha alipo Makamu wa Rais? Kama akipanda ndege watu wanajua, jana karejea wafu wanajua. Je, tunaowaficha ni wakina nani?
Katika mipango ya ndani ya system wanaweza wakawa sahihi kukaa kimya na taarifa za alipokuwa Makamu wa Rais. Ila kwa hitaji la Dunia sasa hivi hakuna siri ndio maana hata viongozi wa Mataifa makubwa wanapokwenda kwenye secret mision soon taarifa zinavuja.
Lakini huyu mtu analipwa na kodi za wananchi na anatoka kwa wananchi hivyo lazima wananchi wafahamu anafanya nini. Cha tatu huyu ni binadamu ambayo uhai wake ni periority, watu wangependa kufahamu amepatwa na nini?
Mwisho, naomba kufahamu , ni sahihi kuficha alipo Makamu wa Rais? Kama akipanda ndege watu wanajua, jana karejea wafu wanajua. Je, tunaowaficha ni wakina nani?