Wanasiasa wote sawa tu. Kwani JK kamaliza zile ahadi zake lukuki? Tukubali tukatae sisi wote ni wadanganyikia, ila kati ya hao wadanganyika wapo wanaoneemeka na hali hii na wapo wanaoteseka kwa ujumla wanaoumia ni sisi wananchi.
Wewe utakuwa ni mmoja wapo wanaofaidi kupitia madawa ya kulevya na ujangili. Adui ni ccm tangu uhuru fanya utafiti uone ni vijiji vingapi vimepata maji safi na salama, kituo cha afya, siyo jengo tu, maana vingi vimejengwa lakini havina dawa wala wahudumu wakiwamo madaktari na wauguzi. Na kila...
Wewe utakuwa ni mmoja wapo wanaofaidi kupitia madawa ya kulevya na ujangili. Adui ni ccm tangu uhuru fanya utafiti uone ni vijiji vingapi vimepata maji safi na salama, kituo cha afya, siyo jengo tu, maana vingi vimejengwa lakini havina dawa wala wahudumu wakiwamo madaktari na wauguzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.