Naitwa Ahmady niko Dsm, mwaka jana nikiwa field nilitokea kumpenda msichana ambae nae alionesha dhahiri kwamba ana mapenzi ya dhati kwangu kwani vitu vingi alinifanyia kwa muda mchache ambao nilikuwa nae.
Ila mimi nilikuwa na mpenzi wangu ambae tupo yapata miaka miwili tena mtoto nimezaa nae...
Mi sidhan km kungekuwa na tatizo lolote ungempongeza kiba kwa hatua alofikia,,,ila tatizo la wabongo ni kwamba wanatumia muda mwingi kufananisha na MTU aliyeshindwa ktk jambo thats why mnafanya watu wakate tamaa mapema kwa kumuangalia MTU aliyeshindwa on behalf of looking for ways that someone...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.