Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,719
Nimekaa sehemu na maji yangu na nyagi pembeni nikaskia nyimbo kali sana. Mhudumu hajui title ila kaniambia ni kala jeremiah na roma.
Hawa vijana hatari.
Naomba mwenye clip na lyrics aweke. Chorus inasema wana nchi mnamsikia mheshimwa aa?
Nikiwaona hawa vijana nitawapa hela kama shukrani
Hawa vijana hatari.
Naomba mwenye clip na lyrics aweke. Chorus inasema wana nchi mnamsikia mheshimwa aa?
Nikiwaona hawa vijana nitawapa hela kama shukrani