Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Acha uchonganishi. Yani unajaribu kusema alitumia muda wote kuandika huu wimbo ili amjibu Jide?Naona Jide kajibiwa kisomi zaidi sana hizo zote falsafa ndio maana anaitwa mwanafalsafa.
Wale mashabiki wa Jide walosema MwanaFa hana hela majibu yenu ni wengi wetu hamna hata laki na mnamwita mwenzenu masikini. Pia Mwanafa anasema sina kitu ila sina roho mbaya tunaishi vizuri kisa show ndio kanuna hii yote roho mbaya jide big up Fa Mfalme watajifunza tu.
Una nufaika na haya mabifu?