Usimjaji mtu kwa mambo ya past.. Ila mbona ndo dem mzuri coz anatumia milango yote miwili ila kama ww kuutumia huo wa uwani kwa sasa..ufunge kisha tumia huo wa mbele ila huo wa nyuma usiufunge kbsa ufanye kma wa emergence... Mbele pakiwa na dharula itautumi...
Mshika mawili siku zote moja humponyoka, uliona ni mbali sana kuvumilia had mtoto wako angalu afikishe mwaka mmoja na nusu ukaamua kumvulia chupi Jamaa yako, ndivyo hivyo mamaa Siku zote utamu wa mua huishia susani,
Kwa kitaalam huyo mtoto umeshambemenda ila Fanya makuu yafuatayo kama bado...
Msianze kuwalaumu wanahabari kwanza.. Mfikirieni na huyo anayeenda kuulizwa maswali... 1. Anajibu huku amekunja sura
2. Any tym anaweza kukuhaibisha 3. Hapendagi kuulizwa swali moja Mara mbili hata kma linaitaji majibu tofauti.. Hasa hili swala la mikopo ameshakutana nalo na kulitolea majibu...
Mara nyingi first batch inatokaga na lundo la wanafunzi kuliko batch zote na linatokaga on time... Sasa mwaka huu ni kinyume batch LA mwisho ndo limetangulia....
Pole sana mrembo, vumilia tu usije ukatiwa mimba na masharo kwa tamaa ya fedha za kugharamia chuo, almost pg zote zipo hivyo hivyo ila kunanjia nyingine ya kuingia ambayo itakwambia "u do not allocated in fist batch" so vumilia si unajua ladies pia wanapewa kipao mbele kuliko ma boys...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.