Mchumba nimempata ila...!!!

Mchumba nimempata ila...!!!

Muoe hyo binti, inavyoonekana ameacha hyo tabia kama angekuwa anaiendeleza asingekueleza kinagaubaga namna hyo isitoshe bado mdogo unaweza kuendelea kumuelimisha.. ila kama unampenda na sio kumuhurumia manake unaweza kumpa tabu mbele ya safari...!
 
Heri ya mwaka mpya wana Jf wote..!
Nalileta kwenu hili nikiamini humu kuna watu wazima wenye kuweza kunishauri katika hili.
Ila kwa wale wadogo zangu ambao bado mko masomoni naomba muwaachie wakubwa wetu wanishauri na sio kuleta utani,matusi na kejeli.
Ni muda sasa nlikuwa natafuta mchumba ambaye badae aje kuwa mke, nilileta uzi humu lakini pia niliwashirikisha watu wa karibu ikiwemo viongozi wa kiroho na nilifikia uamzi huo baada ya kuona muda wangu wa kuoa umefika pia nlishachoka na maisha ya kihuni.
Wengi nliokutana nao sikuvutiwa na tabia zao
Lakn kuna binti nmempata ambaye kweli ana sifa zote nilizotaka.
Ni mcha Mungu,ana heshima kwangu na kwa jamii inayomzunguka pia anaonekana muwazi kwangu.
Nilimfahamu kupitia mama mmoja wanasali kanisa moja
Baada ya mazungumzo marefu nlimueleza nia yangu ya kumwoa akanielewa ila akaomba tusifanye sex mpaka ndoa nilipomuuliza kwa nini akasema alikuwa na mchumba ambaye alimfanya ayachukie mapenzi baada ya kumtenda.
Nilimwomba anieleze kwa kirefu akasema yeye ni mtoto wa kwanza kwa kati ya watoto watano ambapo mama yao amezaa kila mtoto na babake!
Hamjui babake na alipomaliza elimu ya msingi mama hakuwa na uwezo wa kumsomesha hivyo alipelekwa Dar kufanya kazi za ndani kwa mama mmoja ambapo amedumu mwaka 1 kisha manyanyaso yalipozidi akapata kazi sehemu nyingine ambapo alikuwa analipwa pesa nzuri na kumtumia mamake kijijini lakn badae mtoto wa kiume wa bosi wake akamrubuni mpaka kumtoa bikra na kuanza mahusiano ambayo yalidumu kwa kificho na kijana alikuwa akimsaidia binti kwa mambo mengi lakn tatizo alianza kumlazimisha kufanya mapenzi kinyume na maumbile ambapo alishindwa kumkatalia kwani hakujua kama kuna madhara pia aliogopa kupoteza ajira.
Anadai alikuwa anasikia maumivu ila alivumilia na kijana alimwahidi kumwoa lakini baada ya mwaka mmoja kijana alileta msichana mwingine na kumtambulisha kwa wazazi mbele ya huyu binti.!
Kitendo kilimuuma sana ndipo aliamua kuacha kazi na kurudi kijijini kwa mamake.
Ukweli anaonekana ana nia ya kuolewa ila kinachonipa hofu ni hili la mapenzi kinyume na maumbile.!
Je nikimwoa na mimi sifanyi uchafu huo ataweza kuacha kabisa?
Japo yeye anaahidi hatoweza kurudia na hapendi.
Je ni kweli inawezekana mtu aliyepitia mchezo huo akaacha?
Nawaza pia nisimwoe lakini yeye amekuwa mkweli kunipa historia yake kwa kuamini ntamwoa,
Wangapi wanawaficha wachumba wao historia zao za kimapenzi mpaka wanaolewa?
Kifupi binti huyu ni tofauti kabisa na wengine niliowahi kuwapata ambao wengi wao waliweka pesa mbele na uongo mwingi!
Huyu binti ni mdogo miaka 19 na jana nliamua kumpeleka hospital afanyiwe vipimo vyote vya zinaa na H.I.V
Majibu yalionesha hana tatizo lolote ila sasa tatizo linaloniumiza kichwa ni hilo tu.!
Ikiwa ntamwoa nfanyeje asije kuniletea matatizo mbeleni?
Au nimwache?
Pia nikimwacha ntamwaminije mwingine kuwa hajafanyiwa mchezo huo maana wengi sio wakweli.
Mbarikiwe sana.!!!
Usimjaji mtu kwa mambo ya past.. Ila mbona ndo dem mzuri coz anatumia milango yote miwili ila kama ww kuutumia huo wa uwani kwa sasa..ufunge kisha tumia huo wa mbele ila huo wa nyuma usiufunge kbsa ufanye kma wa emergence... Mbele pakiwa na dharula itautumi...
 
Usimjaji mtu kwa mambo ya past.. Ila mbona ndo dem mzuri coz anatumia milango yote miwili ila kama ww kuutumia huo wa uwani kwa sasa..ufunge kisha tumia huo wa mbele ila huo wa nyuma usiufunge kbsa ufanye kma wa emergence... Mbele pakiwa na dharula itautumi...
Subiri kutembea na kifuko cha haja ndogo ufikapo 60 na kuendelea maana unaonyesha jinsi gani ulivyo mzoefu hadi kufikia kushauri ujinga
 
Me bado mdogo ila yachuje yangu. Binti kuwa muwazi kwako, deni yake heshima n. k inatosha kuamini anafaa kuwa mke hilo naungana na wengine But inawezekana hilo alokuambia kakuambia labda kwa sababu imekuwa kawaida kwake na haoni unyeti wake tena, la pili elewa kwenye nyumba za ibada wenye matukio ya hatar weng ndo wanakojificha may b wanataka kuaminiwa ili waolewe au waoe, tatu usioe kwa kuwa unamuonea huruma na la mwisho chukua muda sana kujua tabia zake za sasa tofauti na zile unazoziona ukiwa nae na usimwambie unampendea nn ili asiboreshe na ww uzidi kudata na pigo zake.
 
Dah bado dogo kabisa kiukwel inaumiza sana mapito wanayopitia hasa wadada wakaz zandani, me nakushaur kama umempenda muoe kwasababu huyo binti anaonesha anataka ndoa iliyo imara nandiomaana amekueleza ukweli mapito aliyopitia nawala hakupenda kuolewa kwakutaka sifa ili watu wamuone nashera hali yakuwa amekuficha madhaifu yake, Amekueleza ili kama utaridhia nautamuamini kama hawezi kurudia tena huo mchezo nahaupendi so kaz amekuachia wewe umuoe au la! Ila nivizur pia ungemuelezea mtaalam hiyo hali naamfanyie vipimo zaid ili kama kuna tiba itahitajika bac atibiwe.
 
Usiruhusu mambo yaliyopita yaongoze mambo yako yajayo.. Kama amekiri nadhan hawez rudia huo mchezo pia alifanya kwa kulazimishwa na si kwa kupenda .... .

Anyway, wewe ndio muoaji, sikiliza nafsi yako inavyosema
 
Kaka songa mbele na Huyo binti usijali mambo yake ya nyuma Maana ni moja ya mapito yake.na kaonyesha kutokufurahishwa na hyo tabia.ww muweke sawa naimani atakua Mke bora kwako Bro
 
Wewe oa tu acha mambo mengi kumbuka hata Shetani alikua malaika
 
Unajua kwa nini ametaka msifanye sex mpaka ndoa...

Ni kwa sababu huo mchezo bado hajaacha... mkifanya sasa hivi atatamani na umfanye nyuma alafu utamuacha lakini ndani ya ndoa mtavumiliana tu...
 
Unajua kwa nini ametaka msifanye sex mpaka ndoa...

Ni kwa sababu huo mchezo bado hajaacha... mkifanya sasa hivi atatamani na umfanye nyuma alafu utamuacha lakini ndani ya ndoa mtavumiliana tu...
Unamjua?
 
usimwoe, kukiri kosa hakufuti kosa na huo mchezo hawezi kuacha.
 
Chukua huyo mtoto ilimladi tu uakikishe tabia zenu zinaendana, isiwe tu maigizo
 
Mi naona ni bora ukajipa muda wa kumchunguza kwanza.... Alafu istoshe ni bado Mdogo huwezijua akifika 25 huko atakubadilikia na kuurudia huo mchezo wake..... Navyojua hyo kitu MTU hawezi kuacha ivi ivi.... Pia nakuomba hebu mshirikishe Mungu kwenye hilo
 
Unajua kwa nini ametaka msifanye sex mpaka ndoa...

Ni kwa sababu huo mchezo bado hajaacha... mkifanya sasa hivi atatamani na umfanye nyuma alafu utamuacha lakini ndani ya ndoa mtavumiliana tu...
Halina ukweli nadhani hujawah pitia fedhea za mapenz huyo Dada sasa atak kuchezewa na anahofu ya mungu na anaitaji ndoa ndio mana hatak mapenz sa iv, kumbe bora angekaa kimya bila kueleza chochote
 
Kaka heri ya mwaka mpya...kwanza nampongeza huyo msichana kwa kukuambia ukweli halisi,mm nakwambia sasa hv asilimia 99 wanawake tunaowaoa washafanya anal sex ila wanaficha kwa waume zao wanajua wataachika...ushauri wangu oa huyo bint
 
Sawa mkuu lakini hawa huwa wanaacha jumla kweli huo mchezo?
huwa wanaacha kabisa kama atakuwa na nia ya kuacha
Oa huyo binti ila Iwe kweli unampenda maana amekiri mwenyewe hatorudia upuuzi huo pia kumbuka alirubuniwa vile alikuwa bado mdogo ila na wewe isiwe ndio kiboko chake akifanya kosa badala yakumrekebisha na kumfundisha au kushauri unamkumbushia yaliyopita utakuwa unamuongezea machungu.
 
Back
Top Bottom