Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,276
- 6,585
Hawa hapa wanafunzi waliokosa mikopo 2016/2017. Wanafunzi waliokosa mkopo ni zaidi ya 27,000
Wanafunzi waliokosa ni ;
1.EQUIVALENT-walioomba chuo kikuu kwa sifa za diploma
2.WALIOMALIZA Form six zaidi ya miaka 3 iliyopita nyuma
3.WENYE Umri zaidi ya 30 yrs
4.PRIVATE Candidates wote
5.AMBAO Hawakusahihisha makosa yao kwenye form zao za mkopo
Wanafunzi waliokosa ni ;
1.EQUIVALENT-walioomba chuo kikuu kwa sifa za diploma
2.WALIOMALIZA Form six zaidi ya miaka 3 iliyopita nyuma
3.WENYE Umri zaidi ya 30 yrs
4.PRIVATE Candidates wote
5.AMBAO Hawakusahihisha makosa yao kwenye form zao za mkopo