ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 923
- 1,302
Mm ilishanitokea ila nilikuwa siombwi Pesa ila nilitaka kumwacha akawa hataki nilichofanya kwa kuwa simpendi aliona picha yy mwenyewe akaacha kunizonga...inaonekana ww bado unampenda sanaa
Miez 3 tu u nashindwa je ingekuwa miaka mkuu Fanya maamuz,king'ang'anizi kwan anakuvutia oxygen!!?Mkuu Sijashindwa ila huyu mwanamke ni king'ang'anizi.
Kumbe ndo ka tabia kenuMaandishi yako yanaonesha bado unampenda sana huyo mwanamke aiseeee......
Na ukweli ni kwamba ungekua haumuhitaji tena, ungefanya kama ninavyo fanyaga mimi.
Note: mwanaume kama hamuhitaji mwanamke, hukaa kimya tu tena bila mijadala ya tuachane ama lah

Mpenzi hayalazimishwi aiseeee....Kumbe ndo ka tabia kenu![]()
![]()
![]()
Umenena vemaAlafu watu wanamuita "mkuu" uyu dogo..
Huku JF unaweza ukakuta unamuita mtoto wako "mkuu"
