Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

Hiyo maana yake umeanza kugegedana wakati mtoto akiwa na miezi mitatu tu. Mlikuwa mnaharaka gani? mngekaa atleast miezi sita hivi. Anyways pole sana, ila kwa huduma zetu za kiafya jinsi zilivyo za mwendokasi nakushauri fanya maamuzi magumu tu ili kumuokoa huyu ambaye yupo duniani tayari. I bet serikali wataelewa maana it's just a matter of life against life.

Mkuu kuuwa kiumbe kisa Ana mtoto wa miezi minne.Hayo NI maajabu.Haja bakwa wala mzazi hayuko hatarini.
 
Mtoto anadhurika kwa kuwa unamnyonyesha ninachokushauri mtoto ili awe na afya yake njema acha kumnyonyesha mtt tena na utafute mbadala wa chakula chake cha asili kuna maziwa special ya watoto yatamfaa huyo mtoto na atakuwa vizuri bila shida.
 
ukijifungua huyu uwe unatumia Condom ili kuavoid Future unplanned pregnancy
 
Habar zenu wana jf!! Samahani sana kwa usumbufu, naombeni msaada wenu nifanyeje mwenzenu yamenikuta nipo njia panda sina cha kufanya.

Mwanangu bado mdogo miezi minne tu sasa na tayari nina ujauzito. Mtoto kashaanza kuhara kila siku na anazidi kunyong'onyea tuu. Hospitali walimpima hana tatizo, je nifanyeje? Nawaombeni sana mnisaidie ili niokoe afya ya mwanangu.

Najua kuna watu watanitukana ila yote sawa nastahili, ushari wako ni muhimu.

Asanteni.
Mshika mawili siku zote moja humponyoka, uliona ni mbali sana kuvumilia had mtoto wako angalu afikishe mwaka mmoja na nusu ukaamua kumvulia chupi Jamaa yako, ndivyo hivyo mamaa Siku zote utamu wa mua huishia susani,

Kwa kitaalam huyo mtoto umeshambemenda ila Fanya makuu yafuatayo kama bado hujafanya...
1. Tafuta daktari wa kiume ambaye nimtaalam na unajua atakusaida zaid kuliko kukusimanga na kukutolea siri...
2. Kama bado unamnyonyesha plz acha..
3. Najua unapenda sana kutombwa ila kwa sasa ebu acha kabisa na umkubadie Mara nyingi iwezekanavyo ili kujaribu kurejesha joto lako kwake..
4. Mjali sana kwa mlo kamilo(balance diet) bila kusahau maziwa ya ng'ombe

5. Kama huyo Jamaa yako ajui ukweli kuhusu kimzoofishacho mtoto, mweleze ukweli naye afaham LA sivyo kila siku atakuwa anakudai uchi,faham kuwa mtoto akiaribika zaid lawama zote zitakuja kwao...
6. Zingatia sana hata kwa garama yoyote ushauri wa wataalam....

Sijuhi kma nimekusaidia angala kidogo na usipende kila wakati, kumruhusu mwanaume ktk kipnd cha kunyonyesha akutomb , kama mnanyege kafanyen uchafu wenu mbali na mtoto kisha mjitakase kabla ya kumshika mtoto tena... Bye, iam Dr joel
 
Yaani hapo kitu cha kufanya usimnyonyeshe tena huyo mtoto anaharisha kwa sababu ya mabadiliko ya mimba nyingine hiyo mwili wako tiyari umeshafanya maadalizi ya hiyo mimba na nenda kwa wataalamu , hospitali watakuelekeza namna gani ya kutunza huyo mkubwa wa miezi minne , lkn ukubaliane na mtoto kuugua mara kwa mara kwasababu maziwa ya mama kwa mtoto wake ni dawa lkn fanya hivyo kwanza..
 
huwa mtoto anaendelea kunyonyeshwa mpaka mpaka miezi mitatu ya mimba au sita,ila mama unatakiwa ule msosi vizur kwani unaweza kudhoofika.baada ya hapo unamuachisha kunyonya kabisa aanzi kunywa ya kopo au uji wa dona uliochunywa.na wengine huwa mtoto anachukuliwa eidha na bibi yake au mlezi mwingine huwa wanasema joto la mama linamuadhir kwahiyo inabid akae mbali na mama
Si kweli ni maneno ya mtaani tu joto la mama linadhuru,kubemenda mimi nilishapata hali kama hiyo niliendelea kunyonyesha huku nalea mimba,nilipokaribia kujifungua nilimuachisha mtoto kunyonya miezi 2 kabla.

Nilikuwa nalala na watoto wote ila nilitengana chumba na Mr kwa muda ili kupata nafasi ya kuwaangalia vizuri watoto,joto la mama ni zuri kwa mtoto huwa wataalam wa afya wanashauri kuwa karibu sana na watoto wetu huwazidishia upendo na kujiamini.
 
Kwa hiyo nimuachishe kumnyonyesha? Maana bado namnyonyesha na sijawahi kumpa chochote tofauti na maziwa yangu
Muachishe kunyonya na kama bibi yake yupo mpeleke akakae naye cz hata joto lako hatakiwi alipate,hayo ni mapito tu yatapita
 
Mtoto hawezi kupata shida yeyote kama ananyonya maziwa ya mama mwenye mimba.Kutoa mimba ni kosa la jinai,hata kama kuna mtu anaweza kukusaidia lakini hawezi kujitokeza hadharani.Nenda hospitali unong'one na daktari atakusaidia lakini humu hutapata msaada wowote.
Kutoa mimba siwezi kwani pia ni dhambi, nachohitaji ni jinsi gani naweza Lea. Wote pasipo na negative effect yoyote ile kwa wote pmoja na mimi
 
Si kweli ni maneno ya mtaani tu joto la mama linadhuru,kubemenda mimi nilishapata hali kama hiyo niliendelea kunyonyesha huku nalea mimba,nilipokaribia kujifungua nilimuachisha mtoto kunyonya miezi 2 kabla .
Nilikuwa nalala na watoto wote ila nilitengana chumba na Mr kwa muda ili kupata nafasi ya kuwaangalia vizuri watoto,joto la mama ni zuri kwa mtoto huwa wataalam wa afya wanashauri kuwa karibu sana na watoto wetu huwazidishia upendo na kujiamini.
NASHANGAA SANA WATU WANAPOTAKA KUMTENGA HUYU MAMA NA WANAE!
ahsante kwa uzoefu!

JAMANI HAKUNA KITU KINAITWA MTOTO KUHARIBIKA WALA KUBEMENDWA!
you people!
 
Kutoa mimba siwezi kwani pia ni dhambi, nachohitaji ni jinsi gani naweza Lea. Wote pasipo na negative effect yoyote ile kwa wote pmoja na mimi
MY Dear if at all bado hujajua cha kufanya na unaendelea kuruhusu watu wakuchanganye zaidi,HUJITENDEI HAKI WEWE WALA WATOTO WAKO!

TAFUTA DAKTARI AKUSAIDIA MAAMUZI SAHIHI baina ya haya makundi mawili yamezuka hapa!
Unavyozidi kuchelewa kuamua means unabaki hufanyi chcohote miongoni mwa haya unayoambiwa na ndipo kwa imani hiii ya kunyonyesha au kutokunyonyesha inazidi kukuumizia wanao!

I did my best to kukusaidia kufikiri nje ya box,the rest ni maamuzi na matashi yako kama mama wa hao watoto!
 
NASHANGAA SANA WATU WANAPOTAKA KUMTENGA HUYU MAMA NA WANAE!
ahsante kwa uzoefu!

JAMANI HAKUNA KITU KINAITWA MTOTO KUHARIBIKA WALA KUBEMENDWA!
you people!
Kubemendwa huweza kutokea hata kwa mzazi ambae hajambebea mimba mtoto mwingine.Kwa sababu zifuatazo:

Mama kuwa mchafumchafu wakati wakunyonyesha.
Lishe duni kwa mama anayenyonyesha.
Mazingira machafu ambayo anawekwa mtoto.
Mama kutozingatia kanunu za unyonyeshaji wa maziwa yake ktk kipindi cha miezi 6 ya kwanza ya mtoto.
Mama kutoonyesha kujali au upendo kwa mtoto wake.

Hayo yote huweza kusababisha maradhi kama vile ya kuharisha, mafua, kifua na magonjwa ya ngozi.

Hapo ndio maendeleo ya mtoto ktk ukuwaji naenda vibaya kwa kukosa afya nzuri.huko ndio kubemenda.
 
MY Dear if at all bado hujajua cha kufanya na unaendelea kuruhusu watu wakuchanganye zaidi,HUJITENDEI HAKI WEWE WALA WATOTO WAKO!

TAFUTA DAKTARI AKUSAIDIA MAAMUZI SAHIHI baina ya haya makundi mawili yamezuka hapa!
Unavyozidi kuchelewa kuamua means unabaki hufanyi chcohote miongoni mwa haya unayoambiwa na ndipo kwa imani hiii ya kunyonyesha au kutokunyonyesha inazidi kukuumizia wanao!

I did my best to kukusaidia kufikiri nje ya box,the rest ni maamuzi na matashi yako kama mama wa hao watoto!
My dear nilikuwa namjibu huyo alokuwa anasema kutoa mimba, mimi hadi sasa nishachukua hatua kutokana na ushaur wenu, na sasa mwanangu ameshafunga kuharisha hilo kwanza namshukuru sana mungu .... Maombi yenu kwangu ni muhimu sana,
 
Jaribu kula balanced diet yaani mlo kamili ulio kamilika virutubisho vyote vinavyohitajika mwilini itamsaidia mtoto alieko tumboni na wewe mwenyewe kuwa na afya bora.

Vile vile itamsaidia huyo mtoto wa miezi minne kupata maziwa yake kwa ukamilifu wakati ananyonya! Kwa kufanya hivyo utakua umewajengea watoto wako afya ilio bora! Kama una tatizo la kipesa jaribu kuwasiliana na mzazi mwenzio akusaidie!
 
My dear nilikuwa namjibu huyo alokuwa anasema kutoa mimba, mimi hadi sasa nishachukua hatua kutokana na ushaur wenu, na sasa mwanangu ameshafunga kuharisha hilo kwanza namshukuru sana mungu .... Maombi yenu kwangu ni muhimu sana,
GOOOD!
MUNGU NI MWEMA ,WATAKUA TU!
 
Back
Top Bottom