Kwahiyo we hukujua kwamba uki do bila kinga waweza pata ujauzito mwingine! Komaa dearNinachohitaji ni nifanyeje ili mtoto asidhulike kipindi hiki cha ujauzito? Maana hofu yangu ni juu ya huyu mtoto niliyenaye
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app