makandemoja
Member
- Apr 17, 2016
- 57
- 48
Karume alisema hatuwezi kuiacha nchi hivi hivi tu maana ndugu zetu wa zanzibar huko nyuma wamefirika sana.
Yani mtu hata uchungu wa nchi hii hana eti anataka kua kiongozi "Alimalizia kwa kusema"
Yani mtu hata uchungu wa nchi hii hana eti anataka kua kiongozi "Alimalizia kwa kusema"