Puma Energy (Tz) hivi karibuni ilinunua hisa toka kwa BP (Tz) na hivyo kuchukua vituo vya kuuza mafuta toka kwa ilizokuwa BP (Tz). Jana, jumapili tarehe 18 Novemba mida ya kama saa 2 na nusu hivi asubuhi, nilipata shida ya gari yangu kukata mafuta ghafula nikiwa barabara ya Ally Hassan Mwinyi...
Preta, Preta, Preta, siamini kwamba unaruhusu hata wazo tu kwamba Wakristo wanaweza kufanya hivyo? Ni hivi Preta, Wakristo wana mambo mengine muhimu zaidi ya kufanya zaidi ya kufanya hivyo unavyodiriki kuwaza kwamba wamefanya, na Mungu wao hujitetea Mwenyewe. Ndio huwasikii wana revenge. Wako...
Mkuu, sijui kama utaelewa. Ni hivi, kama umemsikiliza Kamanda Kova, dogo aliyekojolea Qoran alikuwa challenged na rafikie kukojolea Qoran na aka take up the challenge. Sasa je unataka kutuaminisha kwamba Wakristo ndio walioandaa mazingira ambapo yule kijana wa Kiislamu atakutana na, na kisha...
Mkuu, sijui kama utaelewa. Ni hivi, kama umemsikiliza Kamanda Kova, dogo aliyekojolea Qoran alikuwa challenged na rafikie kukojolea Qoran na aka take up the challenge. Sasa je unataka kutuaminisha kwamba Wakristo ndio walioandaa mazingira ambapo yule kijana wa Kiislamu atakutana na, na kisha kum...
Kwani CDM hawana mchakato ambao uko defined na unaeleweka wa kuwapata wagombea urais? Mi naona mada hii lengo lake ni kuleta vurugu ndani ya CDM. CDM kaeni macho . . .
Duuh! Yaani Mtoa hoja umeniacha hoi! Na ule upepo na hali ya hewa mbaya ni Membe na Mwakyembe? Wazenji jaribuni kujifunza from mistakes badala ya kutafuta watu wa kuwalaumu. Mistakes ni pamoja na kununua boti ambazo muda wake wa kutumika umeisha, boti ambazo ziliundwa kusafiri kwenye mito...
Chezea vitu vingine vyote na watu wengine wote lakini MUNGU usije kumchezea. Mchezo ambao politicians wanaucheza hivi sasa ni sawa na kumwingiza hata na Mungu kwenye uovu ambao walioufanya wanajijua na Mungu anawajua.
Blandina alipokuwa Hazina kama Accountant General aliwahi kamata wezi (wahasibu wa wizara ya afya) waliokuwa wanaiba kwa kutumia cheques zilizokwisha tumika, wakawa wanaziandika na amounts mpya na majina mapya. Huyu mama aliwanasa wote wakaenda lupango. Kwa upande wangu nina-mu-admire. Ila...
Michelle, mawazo yako ni mazuri. Hata hivyo, mazingira ya kuugua kwa hawa jamaa - yaani yale yaliyotokea na yaliyosemwa kabla hawajaugua - yananifanya niwaze mengi. Mojawapo ni hili: mtu ukijitoa ili kupiganie wengine, yatakapokupata yakukupata basi ujue utakuwa peke yako. Hasa kama wale...
Mtu wa HR wa UDOM anahitaji kuwa replaced!!
Short-listing sidhani kama kisha isikia.
Kwani kuwaita vijana hao wote kwenye interview siku moja?
Chuo Kikuu si ndo watu wanajifunza hata basics za ku-plan, ama?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.