Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Hapa si Uwanja wa Taifa, hivyo ieleweke kuwa hawa si mashabiki katika mechi kati ya brazil na Taifa stars
Bali ni:-
[h=6]Interview UDOM, walioitwa kwa Interview kwa ajiri ya nafasi za HR walikuwa 2226 kwa nafasi 12 tu.
Hapo weka Pembeni jumla ya waombaji, na vyuo kila mwaka vinazalisha wahitimu (sijasema wataalam).
Ni kama mzaha fulani lakini hebu tufikirishe vichwa kuhusu huko tuendak hali ikoje, ajira hakuna na wahitimu wamegotesha vichwa na fikara za katika kuajiriwa.[/h]Kama wote tujuavyo hapa nchini ngumu sana kufikiria kama au kuanzisha jambo, kwani tangu ungali shule, jamii imeshaanza kukudai na kukutegemea, na baya zaidi ni rahisi kwa mgeni kufanikiwa from (zero) 0 out of 10, lakini ni ngumu kwa wengi wetu kufanikiwa hata kama tuna 5 out of 10.
Kwa picha tuionayo hapo juu mna mgawanyo upi wa mawazo?
Bali ni:-
[h=6]Interview UDOM, walioitwa kwa Interview kwa ajiri ya nafasi za HR walikuwa 2226 kwa nafasi 12 tu.
Hapo weka Pembeni jumla ya waombaji, na vyuo kila mwaka vinazalisha wahitimu (sijasema wataalam).
Ni kama mzaha fulani lakini hebu tufikirishe vichwa kuhusu huko tuendak hali ikoje, ajira hakuna na wahitimu wamegotesha vichwa na fikara za katika kuajiriwa.[/h]Kama wote tujuavyo hapa nchini ngumu sana kufikiria kama au kuanzisha jambo, kwani tangu ungali shule, jamii imeshaanza kukudai na kukutegemea, na baya zaidi ni rahisi kwa mgeni kufanikiwa from (zero) 0 out of 10, lakini ni ngumu kwa wengi wetu kufanikiwa hata kama tuna 5 out of 10.
Kwa picha tuionayo hapo juu mna mgawanyo upi wa mawazo?