kwa sababu ya hila na ujanja wetu sisi watu wa bara,safari hii tusifanye tena hila,tuwaache na wao wakikalie iko kiti then na sisi tutakaa baadae,hatuwezi kutawala pekeetu lazima tushirikiane tena ikiwezekana safari hii hata cha uwaziri mkuu wakikalie pia,yani wakalie vyote urais na uwaziri mkuu kama ccm itashinda sisi tukalie cha umakamu wa rais maana na sisi hatujakionja hicho toka mfumo wa vyama vingi uanze!
naungana na wewe kama tu atakayesimama ni mkristu.