Recent content by Free 4 Life

  1. Free 4 Life

    kigoma upweke- ladies only

    Jamani wanajamii nawashukuru sana nimepata mrembo mmoja maridadi kabisa humuhumu jana jioni kwa kweli ananipa raha sana....! na ndio tunajiandaa kwenda msikitini tukitoka kasema twende ujiji. Yaani mi nakubali tu kilakitu daah!
  2. Free 4 Life

    kigoma upweke- ladies only

    huku wapi?
  3. Free 4 Life

    kigoma upweke- ladies only

    na kweli wachangamke maana inbox ishaanza kuchangamka.!
  4. Free 4 Life

    kigoma upweke- ladies only

    hebu ni pm nione ulichataka kusema
  5. Free 4 Life

    kigoma upweke- ladies only

    haswaaaa!
  6. Free 4 Life

    kigoma upweke- ladies only

    wanajamii niko ndani ya kigoma ila mpweke sana hebu ajitokeze binti mmoja wa kunipa company ani pm tafadhali walah ataenjoy
  7. Free 4 Life

    [USHAURI] Online shopping: Kuna mtu amefanikiwa kwa hapa Tz?

    Ila kuwa makini unanunua wapi? Mimi niliwahi kuagiza jersey no.10 ya argentina kwa paypal kama wewe. Ile jersey haikuwahi kufika na $ 35 sikuweza Kurecover walinizungusha mpaka nikasamehe.
  8. Free 4 Life

    Ushauri kuhusu kilimo

    Pia wizara ya kilimo au ofisi ya kilimo ya mkoa husika wanaweza kukusaidia sana kwenye hili. Kila la kheri
  9. Free 4 Life

    Naishi na virusi vya ukimwi natafuta kama mimi

    Daa virusi kweli vinaheshimika yaani watu wanachangia kwa adabu namna hii! Nakutakia Kila la kheri dada.
  10. Free 4 Life

    nimelia hadi nimechoka ....... hii ni fair jamani?

    Ushasema babu mwenyewe CCM sasa ulitegemea nini? Washawahi kuwa na jema hao?
  11. Free 4 Life

    Eti Fimbo ya mbali.... Mke wangu nimruhusu amegwe!

    Kimahesabu iko hivi... mkeo laziwa aliwe, ishu ni nani atamla? Akiliwa na maafande ataishia jela, akiliwa na best ako atamsaidia kurudi nyumbani. Based on these facts make a decision (am sure which one you will take). Then come back later for another decision when she's back! Moral of the story...
  12. Free 4 Life

    Ninampenda kweli huyu mwanaume

    1. Smile Hauwezi pata kazi kama haufanyi interview. 2. We mpe hicho kipochi manyoya akila kona basi jichunguze unashida gani ili urebishe
  13. Free 4 Life

    Kosa gani hutoweza kumsamehe mpenzi wako ?

    hili neno SANA umeliweka makusudi au bahati mbaya?
  14. Free 4 Life

    My confession: Nilimla denda demu wa rafiki yangu

    Mweleze jamaa yako kilichotokea kwanzia bia ya kwanza.... Mpaka vikonyezo na vitekenyo anavyokufanyia sasa na hakika itamsaidia kama sio sasa hata baadae, ila na wewe ***** sana si ungekula mzigo kabisa. Wanasema "If u want to make a mistake make the big one"
Back
Top Bottom