Kil la kheri dada, maana kwa hali jinsi ilivyo ni wachache kama wewe wenye moyo kama wako.
Hongera sana kwa kutambua hali yako ni kweli wengi hatujui afya zetu,nakutakia maendeleo mema ya kutafuta mwenza!!!
Pole sana mama..sikunyanyapai ila ushauri wangu ni kuwa ungetakiwa kutafuta mtu ambaye naye ameathirika hapo ndio mtaishi kwa usalama zaidi.ila ambaye hajaathirika na kusema kuwa mtatumia mipira for the whole of your life sina uhakika.ningependa uwe na maisha mazuri na wanaokuzunguka wasikubague kabisa ,thats my wish to you
Yah ni kweli jamaa amefanya jambo jemaMfano wa kuigwa
Soma uelewe amesema anataka kama yeye hongera dadaPole sana mama..sikunyanyapai ila ushauri wangu ni kuwa ungetakiwa kutafuta mtu ambaye naye ameathirika hapo ndio mtaishi kwa usalama zaidi.ila ambaye hajaathirika na kusema kuwa mtatumia mipira for the whole of your life sina uhakika.ningependa uwe na maisha mazuri na wanaokuzunguka wasikubague kabisa ,thats my wish to you
Pole sana mama..sikunyanyapai ila ushauri wangu ni kuwa ungetakiwa kutafuta mtu ambaye naye ameathirika hapo ndio mtaishi kwa usalama zaidi.ila ambaye hajaathirika na kusema kuwa mtatumia mipira for the whole of your life sina uhakika.ningependa uwe na maisha mazuri na wanaokuzunguka wasikubague kabisa ,thats my wish to you
Well spoken Amalia. That's the spiritkuishi na virusi vya ukimwi si tatizo ukishajifunza, mwenye cancer hata malaria yuko kwenye risk kupita mimi.
habari zenu wana jamvi la "great thinkers". mimi ni mgeni kabisa katika jamvi hili na ni mara yangu ya kwanza kuweka post yangu hapa, japo ni msomaji sana wa JF lakini kama mgeni.
kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni mama 40+ naishi na virusi ya ukimwi. ningependa kupata mwenzangu wa kuanza maisha pamoja kama si kumalizia pamoja. lakini ambaye atakua tayari kutumia zana wakati wote wa mahusiano yetu ili kuzuia uambukizo mpya. nina maisha yangu na ninajiweza. ninajua wako wengi wenye hali kama mimi na ni wapweke na wangetamani kupata wenzao, ila sababu ya kuepuka maneno, kunyanyapaliwa na kunyooshewa vidole unaamua kujificha na kuishia kujifungia ndani wakati sio mwisho wa maisha. hali yangu hakuna anayeijua zaidi ya mimi na daktari wangu. naomba yoyote ambaye atakua interested ani PM kisha tufahamiane zaidi. Mimi makazi niko MOrogoro. Nisingependa malumbano maana hata wewe utakayelumbana na mimi afya yako huijui, ni bora mimi najijua na nafahamu jinsi ya kuishi.
mwenye maswali, yanakaribishwa, ni PM nitajibu. Jioni njema na Ijumaa njema wote wana JF.
Pole sana mama..sikunyanyapai ila ushauri wangu ni kuwa ungetakiwa kutafuta mtu ambaye naye ameathirika hapo ndio mtaishi kwa usalama zaidi.ila ambaye hajaathirika na kusema kuwa mtatumia mipira for the whole of your life sina uhakika.ningependa uwe na maisha mazuri na wanaokuzunguka wasikubague kabisa ,thats my wish to you