Naishi na virusi vya ukimwi natafuta kama mimi

Pole sana mama..sikunyanyapai ila ushauri wangu ni kuwa ungetakiwa kutafuta mtu ambaye naye ameathirika hapo ndio mtaishi kwa usalama zaidi.ila ambaye hajaathirika na kusema kuwa mtatumia mipira for the whole of your life sina uhakika.ningependa uwe na maisha mazuri na wanaokuzunguka wasikubague kabisa ,thats my wish to you

mkuu hebu soma vizuri tena hamanishi hivyo
 
Pole sana mama..sikunyanyapai ila ushauri wangu ni kuwa ungetakiwa kutafuta mtu ambaye naye ameathirika hapo ndio mtaishi kwa usalama zaidi.ila ambaye hajaathirika na kusema kuwa mtatumia mipira for the whole of your life sina uhakika.ningependa uwe na maisha mazuri na wanaokuzunguka wasikubague kabisa ,thats my wish to you
Soma uelewe amesema anataka kama yeye hongera dada
 
Pole sana mama..sikunyanyapai ila ushauri wangu ni kuwa ungetakiwa kutafuta mtu ambaye naye ameathirika hapo ndio mtaishi kwa usalama zaidi.ila ambaye hajaathirika na kusema kuwa mtatumia mipira for the whole of your life sina uhakika.ningependa uwe na maisha mazuri na wanaokuzunguka wasikubague kabisa ,thats my wish to you

Saint Ivuga, hata kama unaishi na mwezio ambae ameathirika ili kupunguza maambukizi mapya unashauriwa kutumia condom, kwani virus vinatofautiana. Kwa hiyo anaweza kumpata aliyeathirika, lakini akawa na virus ambavyo vinaweza kuwa kwake ni maambukizo mapya; mimi sio daktari, nazungumzia general knowlledge.
 
Mi nkupongeze kwa uamuzi wa busara uliotumia tofauti na wale ambao wanajtambua lakini wanajificha ilhali haja ya mwili wanaihitaji.
Mimi kwa vipimo mara ya mwisho yanonyesha si muathirika lakini napenda na kuheshimu sana wanaojitambua na kutambua tatizo. Hongera kwa uamuzi wa busara
 
Alikua bayana kua anatafuta mwenzie wa kumtoa upweke(muathirika) kwa sharti la kutumia zana kuepusha maambukizi mapya! Tuwe makini tunaposoma post @ Saint Ivuga
 
Hiyo saffi sanna dada angu,ila acheni mambo yenu wakware mtajifanya mnataka kumuoa,then mkishamuonja kwa kutumia mipira yenu halafu muingie mitini,yaani sijui mkoje hamna hata aibu maana najua kuna michafuzi itakua imeshaanza kum-pm.
 
habari zenu wana jamvi la "great thinkers". mimi ni mgeni kabisa katika jamvi hili na ni mara yangu ya kwanza kuweka post yangu hapa, japo ni msomaji sana wa JF lakini kama mgeni.
kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni mama 40+ naishi na virusi ya ukimwi. ningependa kupata mwenzangu wa kuanza maisha pamoja kama si kumalizia pamoja. lakini ambaye atakua tayari kutumia zana wakati wote wa mahusiano yetu ili kuzuia uambukizo mpya. nina maisha yangu na ninajiweza. ninajua wako wengi wenye hali kama mimi na ni wapweke na wangetamani kupata wenzao, ila sababu ya kuepuka maneno, kunyanyapaliwa na kunyooshewa vidole unaamua kujificha na kuishia kujifungia ndani wakati sio mwisho wa maisha. hali yangu hakuna anayeijua zaidi ya mimi na daktari wangu. naomba yoyote ambaye atakua interested ani PM kisha tufahamiane zaidi. Mimi makazi niko MOrogoro. Nisingependa malumbano maana hata wewe utakayelumbana na mimi afya yako huijui, ni bora mimi najijua na nafahamu jinsi ya kuishi.
mwenye maswali, yanakaribishwa, ni PM nitajibu. Jioni njema na Ijumaa njema wote wana JF.

Ubarikiwe kuwa wazi kiasi hiki!
 
Katika maisha huwa nafurahi sana kuwa na watu wakweli na ambao hawalichukulii tatizo kama tatizo,so kwa moyo safi,naomba nikupongeze dada kwa ujasili wako na uamuzi mzuri uliouchukua wa kutousambaza na kutulia,kwani ni wachache sana wenye huo moyo na mtizamo chanya kama wako,yangu mie ni hayo,MUNGU AKUBARIKI NA AKUZIDISHIE MINGI YENYE HERI HAPA DUNIANI.
 
Aisee, I wish ningekua na qulify! Vipi huitaji negative(asiemuathirika)?
 
Pole sana mama..sikunyanyapai ila ushauri wangu ni kuwa ungetakiwa kutafuta mtu ambaye naye ameathirika hapo ndio mtaishi kwa usalama zaidi.ila ambaye hajaathirika na kusema kuwa mtatumia mipira for the whole of your life sina uhakika.ningependa uwe na maisha mazuri na wanaokuzunguka wasikubague kabisa ,thats my wish to you

hakika umekurupuka
 
Back
Top Bottom