Eti Fimbo ya mbali.... Mke wangu nimruhusu amegwe!

Umepost hoja yako majira ya saa 9. Na kama ni arabuni kwa tofauti ya saa 1 ina maana haijawa usiku bado.
Ndio kusema kama hiyo sms ni kweli aliituma usiku ina maanisha sio leo, na kama sio leo basi kuna jambo lishamtokea mkeo!

Kwamba rafikiyo kesha kula au askari wa umangani wamemla, na wale wanakulaga vibaya sana hata kusiko!

Case closed:) ushauri wowote hauna maana kwa sasa!

Basi hata kunitia moyo haiwezekani?
 
uarabuni kuna viza za uyaya?????au mkeo aliendaje???mie nataka nikawe yaya huko lol,nahisi huu wote ni ushigongo....sijui mnapata nini kutunga?ukute wewe na mkeo wote mko hapo mwanakwelekwe...lol

Hivyo huna habari na hilo? Mbona huko kuna viza za housemaids na dada yangu usiombee! Huenda ukalea baba na shababu wake usipojichunga.
Well unaweza ukaona labda ni ushigongo lakini aisifue mvua imemnyea au ilimweka ndani akashindwa kutoka nje. Ingekuwa ni ushigongo basi ingekuwa ile inayoanzia na tangazo, "Based on true story"
 
Jamani waTanzania wenzangu. Hasa kina dada. Nawasihi sana, msiingiwe na hizi tamaa za kwenda uarabuni.

Bora ukae kwenu, upate mia mbili kuliko uende uko. Ukatombeshwe na mbwa. Ni hayo tu
 
Yamenikuta! Naambiwa fimbo yangu iko mbali nikubali yaishe!
Matatizo ya maisha yametufanya mimi na mke wangu tukubali ushauri wa rafiki yangu wa kumruhusu mke wangu akatafute kibaruwa umangani. Rafiki yangu huyo yuko huko kwa kitambo akiwa dereva wa magari makubwa na huja nyumbani kila baada ya miaka miwili.
Anapokuja pesa hujionyesha hivyo alipotushauri tulikubaliana na mama watoto aende akatafute kibaruwa huko kama mtumishi wa nyumbani.
Mama watoto alienda huko akiniwachia ulezi tukitegemea mabadiliko ya maisha. Miezi michache mke wangu akituma pesa kidogo zilizosaidia maisha huku. Mara mambo yalibadilika, mama watoto aliniletea habari kuwa sasa yuko kwenye mateso na hata mshahara wake halipwi. Tatizo ni kuwa mama mwenye nyumba amebaini kuwa baba mwenye nyumba anapiga malaini kwa mke wangu, hivyo kaamuwa kumuonyesha na Baba mwenye nyumba nae baada ya kuvumilia muda mrefu na msimamo wa mke wangu wa kumtolea nje nae kaamuwa atumie mateso na vitisho ili apate mradi wake.
Niliwasiliana na yule rafiki yangu alietushawishi juu ya hali hii nae akashauri mke wangu akimbie kwa mwajiri wake nae atamficha ndani ya gari lake ili kumvusha sehemu alioko ili afike kwenye mji wenye ubalozi wetu. Mke wangu amefanya hivyo na baada ya siku moja tangu atoroke amenitumia ujumbe huu wa simu;

' Tumeshapoteza siku nzima tukiwa njiani na imefika usiku rafiki yako amekodi chumba lakini anachoniambia mimi sikielewi. Ananitaka kimapenzi na nilipomkumbusha kuwa wewe ni rafiki yake alinijibu kuwa fimbo ya mbali haiuwi nyoka!
Amenikumbusha tu kuwa mimi sina ninapopajuwa na ni mkimbizi. Sijui kama ni kweli lakini amenambia kuwa nikikamatwa na maaskari basi watanifanyia vibaya kwanza kabla ya kunipeleka gerezani. Hadi sasa nimejaribu kukutunzia heshima yako na kwa vile hili la kuja huku tuliliamuwa pamoja naomba ushauri wako lipi la kulifanya?'

Baada ya kuisoma msg hiyo nimechanganhikiwa. Wenzangu nakuombeni ushauri nini cha kufanya katika tatizo hili?

...."Men are smart, women are smarter....."
Ungekuwa mdadisi kidogo na kumuuliza yeye anafikiria nini..
jibu lake ndilo lingekupatia jibu lake...
 
The grasses are not always greener on the other side of the pond.Sometimes life is not fair,you can blame no body for what has happened/will happen,either the situation will not solve itself he needs to take bold decisions.
 
...."Men are smart, women are smarter....."
Ungekuwa mdadisi kidogo na kumuuliza yeye anafikiria nini..
jibu lake ndilo lingekupatia jibu lake...

Umenena ukweli lakini kwa wakati huo nilishindwa na nini cha kufikiri.
 
The grasses are not always greener on the other side of the pond.Sometimes life is not fair,you can blame no body for what has happened/will happen,either the situation will not solve itself he needs to take bold decisions.

Thanks! It really helps believe me!
 
Ofcouse this is a home of GREAT THINKERS I Wonder to some advice being provided. Mr mwambie mkeo asikubaliane na hilo kwan magonjwa mengi na huwezi jua afya za hao jamaa.
 
Kimahesabu iko hivi... mkeo laziwa aliwe, ishu ni nani atamla? Akiliwa na maafande ataishia jela, akiliwa na best ako atamsaidia kurudi nyumbani. Based on these facts make a decision (am sure which one you will take). Then come back later for another decision when she's back! Moral of the story: 'trust no one suspect everyone to stay safe'
 
kuna mazingira ni rahis kuyatengeneza ila magumu kutatua
 
Kimahesabu iko hivi... mkeo laziwa aliwe, ishu ni nani atamla? Akiliwa na maafande ataishia jela, akiliwa na best ako atamsaidia kurudi nyumbani. Based on these facts make a decision (am sure which one you will take). Then come back later for another decision when she's back! Moral of the story: 'trust no one suspect everyone to stay safe'

Thanks, though................!
 
Back
Top Bottom