Free 4 Life
Member
- Mar 1, 2011
- 19
- 3
- Thread starter
- #21
Jamani wanajamii nawashukuru sana nimepata mrembo mmoja maridadi kabisa humuhumu jana jioni kwa kweli ananipa raha sana....! na ndio tunajiandaa kwenda msikitini tukitoka kasema twende ujiji. Yaani mi nakubali tu kilakitu daah!