Nadhani hii ndiyo awamu pekee ya uongozi iliyoweka record ya kuwa deffended mpaka na waganga wa jadi!!
mtaelewa ni kwanini tunapaswa kuombea sana nchi yetu!😭😭
Ila watumiaji wa Samsung wanatudharau sana watumiaji wa tecno sijui kwanini😬😬
mtu kaomba ushauri kati ya tecno na infinix nyie mnaanza kumwambia ni bora anunue Samsung!!!!!
embu wakuu tujaribu kuheshimu mawazo na maamuzi ya mtu,hatuwezi kuwa uniform wote,so far tukiamua wote kuhamia Samsung...
ndo maana ukaitwa mtihani,hauwezi kila mwaka kuongoza wewe tu!
Kuna mkuu kasema FEZA hupewa mtihani mwezi mmoja kabla,siyo kweli mwanangu anasoma pale hilo jambo halipo kinachowabeba FEZA ni aina ya wanafunzi wanaowachukuwa pamoja na mazingira BORA ya shule.
interview ya form 5 wanafanya...
kwani WAKRISTO TUNAKWAMA WAPI???
Maziko ya mtu hayana uhusiano wowote na marehemu bali na waombolezaji!!
Pale jana pangekuwa na MKUTANO WA INJILI isingewezekana wale watu wote kuhudhuria,ila msiba wa MZEE MENGI umewakusanya.Hivyo MUNGU anahitaji kusema na wale waombolezaji ya kuwa siku moja na...
Mkuu niliumia sana jmosi nilitest kuangalia TBC1 yani ni MAJANGA!
haya matumizi ya kodi zetu ninaamini kwa 100% MUNGU hayafurahii kabisa.
tuendelee kuomba Rehema kuizuia ghadhabu ya MUNGU.
Jumatatatu kutwa wanarudia Ibada waliyoirekodi huko sijui karagwe wanawapa na airtime washirika kutuma...
Gari automatic likizima likiwa kwenye D litaendelea kwenda na breack kama walivyosema wadau hazitashika labda handbrake.
kina haya mabasi yaendayo haraka kwa wadarasalam wanayafaham,
Yana buttons 3 kwa ajili ya kuweka gear,
1- D
2-N
3-R
hayana P,huwa nawaona madereva wao wakisimama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.