TTCL Nimewanyoshea mikono nyie ni washenzi wa lagos

Mayala B

JF-Expert Member
May 13, 2019
1,450
3,379
Aman itamalaki kwenu wote

Baada ya kuteswa kwa miaka kazaa na washenzi kazaa yaan mitandao mishenzi shenzi sasa hatimaye nimepata mchumba mpya ambaye tiar nishafunga naye ndoa

TTCL nyie ni wanyama hatari sana

Kwanza internet mtandao umetulia kishenzi sijawahi ona hawa jamaa cm haikwami kabisa hata kidogo yaan ni kuchumpa tu

Tunakuja kwenye gharama za vifulushi bei ni kama bure aisee

Toka nimesajili saiv natumia kakifurushi kamoja hivi unaweka jero unapewa mb kama mia saba kwa week nzima hiyo ni offer ndogo sana kwao kuna offer kama milion hivi na za bei chee

Nyie ni wanyama endeleen na unyama wenu

Safi sana
 
Aman itamalaki kwenu wote

Baada ya kuteswa kwa miaka kazaa na washenzi kazaa yaan mitandao mishenzi shenzi sasa hatimaye nimepata mchumba mpya ambaye tiar nishafunga naye ndoa

TTCL nyie ni wanyama hatari sana

Kwanza internet mtandao umetulia kishenzi sijawahi ona hawa jamaa cm haikwami kabisa hata kidogo yaan ni kuchumpa tu

Tunakuja kwenye gharama za vifulushi bei ni kama bure aisee

Toka nimesajili saiv natumia kakifurushi kamoja hivi unaweka jero unapewa mb kama mia saba kwa week nzima hiyo ni offer ndogo sana kwao kuna offer kama milion hivi na za bei chee

Nyie ni wanyama endeleen na unyama wenu

Safi sana

TTCL ya hapa Tanzania au ya inchi gani? Maana TTCL ya Tanzania kila saa inafanya roaming na tigo, TTCL ya Tanzania hata ukiwa kwenye jengo lao la HQ unapata 3g, hiyo Tpesa yao ndio balaa kuinunua luku Ijumaa inakuja J4 sasa ww sijui unamaanisha TTCL ipi
 
Kweli ukisema cha nini, mwenzako anasema atakipata lini! Baada ya kuivumilia TTCL kwa miezi kadhaa sasa, nikajikuta nimebakiza mtandao mmoja tu ndio sijaaribu, mtandao wenyewe ni Zantel! Wiki ya pili sasa, labda na wenyewe walete mizingio, vinginevyo naiona modem ya TTCL inavyoanza kupata kutu hata kama bundle yao ya wiki ni pungufu kwa 2K ukilinganisha na ile ya Zantel!!

Kabla hujauliza, bundle ninayoizungumzia hapa ni 10GB kwa Sh. 10,000 (TTCL) na Sh. 12,000 (Zantel) kwa wiki!
 
Acha chuki mzazi usitufanye kuwa sisi wote tunaishi msumbiji au ni pinga pinga
TTCL ya hapa Tanzania au ya inchi gani? Maana TTCL ya Tanzania kila saa inafanya roaming na tigo, TTCL ya Tanzania hata ukiwa kwenye jengo lao la HQ unapata 3g, hiyo Tpesa yao ndio balaa kuinunua luku Ijumaa inakuja J4 sasa ww sijui unamaanisha TTCL ipi
 
Itakuwa wewe unatumia tecno maana maelezo yako na malalamiko ni kama mbingu na aridhi

Soma kwanza ulichokiandika
Kweli ukisema cha nini, mwenzako anasema atakipata lini! Baada ya kuivumilia TTCL kwa miezi kadhaa sasa, nikajikuta nimebakiza mtandao mmoja tu ndio sijaaribu, mtandao wenyewe ni Zantel! Wiki ya pili sasa, labda na wenyewe walete mizingio, vinginevyo naiona modem ya TTCL inavyoanza kupata kutu hata kama bundle yao ya wiki ni pungufu kwa 2K ukilinganisha na ile ya Zantel!!

Kabla hujauliza, bundle ninayoizungumzia hapa ni 10GB kwa Sh. 10,000 (TTCL) na Sh. 12,000 (Zantel) kwa wiki!
 
Acha chuki mzazi usitufanye kuwa sisi wote tunaishi msumbiji au ni pinga pinga

Na mm nilikuwa mteja wa TTCL kuanzia kwenye PPOE mpaka kwenye sim cad so I know what I'm talking, ww umerembesha zaidi yan dah ni hatari
 
TTCL ya hapa Tanzania au ya inchi gani? Maana TTCL ya Tanzania kila saa inafanya roaming na tigo, TTCL ya Tanzania hata ukiwa kwenye jengo lao la HQ unapata 3g, hiyo Tpesa yao ndio balaa kuinunua luku Ijumaa inakuja J4 sasa ww sijui unamaanisha TTCL ipi
Asante kwa kunisaidia kuandika,TTCL ni taka taka sioni u maana wao tena.
 
Itakuwa wewe unatumia tecno maana maelezo yako na malalamiko ni kama mbingu na aridhi

Soma kwanza ulichokiandika
Pole sana, pole sana mosi, unaonekana unakurupuka kabla ya ku-comment! Unaweza kuniwekea hapa picha ya Modem ya Techno inavyokuwa?!!Acha kujilinganisha na watu ambao at least 15 hours wapo online wakifanya shughuli zinazohitaji high speed internet huku wewe matumizi yako yakiwa kwenye social networks! TTCL Internet sucks unless kama hujawahi kukutana na intanet ya ukweli!
 
TTCL moja ya mitandao ya HOVYO sana kwa upande wangu kwa sasa....Natamani mwenye moderm ya 4G voda anipe nimpe 4G WIRELESS ya TTCL.

VODACOM ✅ verified.
Mi nashangaa huyo jamaa anavyotaka kuleta siasa kwenye mambo serious, sijui ndo kapata smartphone hivi karibuni!!
 
Pole sana, pole sana mosi, unaonekana unakurupuka kabla ya ku-comment! Unaweza kuniwekea hapa picha ya Modem ya Techno inavyokuwa?!!Acha kujilinganisha na watu ambao at least 15 hours wapo online na wewe unaetumia intanet Instagram! TTCL Internet sucks unless kama hujawahi kukutana na intanet ya ukweli!
Sitaki kuingilia argument mliyonayo, lakini nimekuwa mtumiaji wa TTCL kwa mda sasa. Japo inategemea na eneo(kama ilivyo mitandao mingine) kwa experience niliyonayo ya utumiaji wa net hapa bongo, TTCL is the best.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom