Taarifa ya habar TBC hovyo kabisa

Taarifa ya habar TBC hovyo kabisa

Mkuu niliumia sana jmosi nilitest kuangalia TBC1 yani ni MAJANGA!
haya matumizi ya kodi zetu ninaamini kwa 100% MUNGU hayafurahii kabisa.
tuendelee kuomba Rehema kuizuia ghadhabu ya MUNGU.
Jumatatatu kutwa wanarudia Ibada waliyoirekodi huko sijui karagwe wanawapa na airtime washirika kutuma salamu za pasaka kwa ndugu zao!!!!!!!!!!!!
 
Pole kwa kutazama hicho kituo
Tangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
 
Hicho kituo watu walisha kidharau kipindi kirefu sana
nauliza na namuuliza rais hii tbc ni channel ya chama cha ccm au channel ya taifa? kama channel ya taifa kwanini wakati woote ni ccm tu na kwanini wakati mwingine isiwe inaonyesha vyama vingine kama hotuba zao na ziara zao na maendeleo yao
 
Ndiyo tv station yenu wana ccm
Mkuu mleta mada hayo yanayokusibu ya kuishiwa king'amuzi na mimi yananisibu.

TBC kwa kweli inaboa sana, siku nyingine wanaonyesha harusi za watu, watu wanatongozana mpaka wanafikia uamuzi wa kufunga ndoa hawatuhusishi lakini eti siku ya sherehe yao ndio tunahusishwa!!.

TBC inaboa, wanarudi vipindi vile vile vya mahojiano, yaani taabu kwa kwenda mbele.
 
Tangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza

Mimi nitashangaa siku tbccm itakapofanya jambo la maana, ila hicho ulichokiona ndio hasa uwezo wao ulipoishia.
 
Tangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
Umepata wapi roho ngumu ya kutazama huo ugoro wa CCM??
 
Mpaka nimemkumbuka Candid Scope, 'Mkweli kwa Nchi Yangu'.
Au ndio tunaanza kuwa transformed mkuu?
Mkuu mleta mada hayo yanayokusibu ya kuishiwa king'amuzi na mimi yananisibu.

TBC kwa kweli inaboa sana, siku nyingine wanaonyesha harusi za watu, watu wanatongozana mpaka wanafikia uamuzi wa kufunga ndoa hawatuhusishi lakini eti siku ya sherehe yao ndio tunahusishwa!!.

TBC inaboa, wanarudi vipindi vile vile vya mahojiano, yaani taabu kwa kwenda mbele.
 
kwa bahati mbaya naskia tbc Taifa hapa inaelezea ziara ya chama Cha mapinduzi Mbeya (jiji) aibu Sana kwa channel ya Taifa!
 
Tangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
BROTHER USIANGALIE TBC INAMALIZA HATA LUKU,JUZI MWENYEWE KULIKUWA NA UNITS 28 KWENYE LUKU TUMEANGALIA TAARIFA LAO LA HABARI TU KAMA NUSU SAA IMEKULA NUSU YA UNITS ZIKABAKIA 14,NADHANI YALE MATAARIFA YAO YA KUUNGA MKONO HOJA YANAKULA SANA UMEME HALAFU LINA PICHA MBAYA MBAYA UTADHANI WAMEREKODIA CAMERA ZA SIMU ZA TOCHI
 
Jilaumu mwenyewe kuangalia hiyo TV. Hiyo ni TV ya wazee, watu wasiojielewa na watu wa vijijini wasiojua lolote.
msitukashifu sisi watu wa vijijini tunaelewa kila kitu, kwanza hata hao wana ccm wenyewe siwaonagi kuangalia hyo t.v yao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom