Kwel kabsa Kaka abiria wa tz wengi n mazwazwa hawana akili kwa stor aliyoitoa mtoa mada abiria wangekuwa na akili wasingeondoka apo stems Ila kwa kuwa n Machizi na waoga na wasioweza ku judge kitu wakaondoka tuu watanzania aliyetuloga kafa
Mimi huwaga namwita MESSIAH mchezaj anayekuofa kila kitu kuanzia Magoli Assist driblle ma frick kama yote yani mtu mmoja anakuoffer vtu zaid ya 10 aafu uje frm no wher umpe mtu Tunzo eti kisa magoli s utakuwa chizi aiseeee
Kwa mm wachezaji bora kuwahi kutokea Duniani namba moja
1.MESSIAH...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.