- Thread starter
- #21
Genta yupo mbele ya muda..😅🤔🤔🤔 GENTAMYCINE anaipenda Tanzania kweli....?
Umetumia vigezo gani.
Genta yupo mbele ya muda..😅🤔🤔🤔 GENTAMYCINE anaipenda Tanzania kweli....?
Umetumia vigezo gani.
Tz unaweza Kuta mtendaji WA kijiji ana nguvu na maamuzi kumshinda hata makamo wa raisiSiasa za CCM zenyewe zimekuwa kama vita!!
CCM INA WENYEWE eti! Dah, pole Dr. Mpango
Huwezi ponya nchi na sukuma GANG, mlifanya uharibifu mkubwa. Trillion mlizoiba ziko wapi. MaCCM yote ni MAJIZI.Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
Mkuu matatizo ya Tanzania hayakuanza na Raisi Jakaya wala Raisi Magufuli, yana mzizi mrefu sana. Pia hatuwezi kudharau kabisa mchango wa hawa wazee wala ushauri wao, japo mimi naamini kwamba wao wananufaika na huu mfumo hivyo ni nadra kwa wao kufanya maamuzi magumu yenye maslahi kitaifa. Wengi wao ni wahafidhina huku wengine wakiwa ni walafi mno. Sasa hilo la tutapataje fikra mpya ni jingine ambalo ukilizungumzia hadharani huwezi kukosa kuitwa mhaini, mchochezi au gaidi.......Mkuu sijui tunafanyaje waingie watu wapya wenye fikra mpya, na wawe huru bila mizizi ya nyuma huko!
Kijana utakufa na preshaGenge la mafisadi likiongozwa na Kiranja wao mkuu JK ni tishio kwa ustawi wa hii nchi.
Mtandao wao umeshikamana kutoka ndani mpaka kwa waume zao mabeberu.
As a country, we need strong measures to keep these monsters at bay.
Nani anajua kwa hakika hawa ni watu wa aina gani na chimbuko lao ni lipi!!!
Baada ya kuona upande wa pil kumebanaTunawasubiri sukuma GANG muanze kutamka katiba mpya, mnakigugumizi sana.
Ila mtaongea tu siku moja kwa sauti katiba mpya.
Bado ni safari ndefuTanzania itakuwa huru hadi pale kizazi cha tanu kifutike chote kipindi ambacho generation Z ndio watakuwa senior citizens
Umemaliza mkuuMkuu matatizo ya Tanzania hayakuanza na Raisi Jakaya wala Raisi Magufuli, yana mzizi mrefu sana. Pia hatuwezi kudharau kabisa mchango wa hawa wazee wala ushauri wao, japo mimi naamini kwamba wao wananufaika na huu mfumo hivyo ni nadra kwa wao kufanya maamuzi magumu yenye yenye maslahi kitaifa. Wengi wao ni wahafidhina huku wengine wakiwa ni walafi mno. Sasa hilo la tutapataje fikra mpya ni jingine ambalo ukilizungumzia hadharani huwezi kukosa kuitwa mhaini, mchochezi au gaidi.......
Waliteseka sana sasa n zamu yaoIf u cant beat them join them
Boyz 2 men nao wanahitaji kupumua
Kama si wao nan sasa 😀😀😀
Waliingia awamu ya tano wakajipa tenda zote waoMkuu, Ngungenge unafikiri hatuwezi kupata Bora zaidi ya hawa? Nchi ikasonga zaidi? Au watu milion 60, wao ndio vipanga tu!!
Huu mchezo hautaki hasira, walitaka kuwamaliza wakasahau kujikingaHuu mtandao wa wahuni ulioasisiwa na jk ndio umeifikisha nchi kwenye huu umaskini na bado wanataka kuendelea kutuibia.
Nchi hii haiwezekani kupata maendeleo mpaka awa wahuni wote wafe.
Rejea mchakato wa uchaguzi 1995"Boys 2 Men" ndo kina nani hawa?
Tusaidiane kuifumbua hii "code language"
Katiba mpya tuSasa kama haya majitu ndio yamejichimbia hivi! Tunafanyaje? Nchi inageuzwa kama chapati!!? Kweli?
Tunataka katiba ibadilishwe kabla hatujabadili chama tawala maana bila hivyo watapoingia na wao wataweka ngumu ya kutoka huku wakitugalagaza zaidi ya CCM. Mfano halisi ni mwenyekiti wao ambaye hataki kung’atuka kwenye nafasi hio miaka nenda rudi.Tanzania itakuwa huru hadi pale kizazi cha tanu kifutike chote kipindi ambacho generation Z ndio watakuwa senior citizens
Mliletewa katiba bungeni mkawa mnatoka njeDawa ni kuipiga chini CCM, miaka zaidi ya 60 kila siku ni porojo tu! Tuwape wengine nao wakizingua wapigwe chini! Ccm wamejipa hatikiliki ya nchi hii kwa hiyo wanafanya watakavyo! Ndio mana wanafunga watu kwa ajili ya kutetea katiba mpya!
Je,kama anakuchezea akili tu?Unaweza kukuta yeye ni mmoja wa wawili.Bii keyafuru!Mlioanza siasa 2017
Sukuma gang= uchawi, ulevi, umalaya, ujambazi, ulafi, ukatili, uchafu, uwizi , chuki, udhulmati na uonevuBora boys 2 men kuliko Sukuma gang
Boys 2 men tuliishi vizuri watoto Shule za mana tulijenga tulinujua V8 kwa pesa zetu