Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
Wakuu what is so special na hii kesi
Yaani ukianzia hapa JF, nenda Tweeter, nenda FB na YouTube kesi ya Mbowe ndo ina trend Sana.
Huwezi amini Raisi SSH alikuwa Arusha Ila uzi wake unapata replies chache Sana, habari zote zinazohusu serikali hazifatiliwi Sana.
Ukiangalia media za Kenya ni kesi ya Mbowe tu, BBC hivyo hivyo.why habari za serikali zimekosa attention kiasi hiki?
What so special with this case?
Yaani ukianzia hapa JF, nenda Tweeter, nenda FB na YouTube kesi ya Mbowe ndo ina trend Sana.
Huwezi amini Raisi SSH alikuwa Arusha Ila uzi wake unapata replies chache Sana, habari zote zinazohusu serikali hazifatiliwi Sana.
Ukiangalia media za Kenya ni kesi ya Mbowe tu, BBC hivyo hivyo.why habari za serikali zimekosa attention kiasi hiki?
What so special with this case?