Recent content by fredezekiel

  1. fredezekiel

    Naona maisha hayana faida tena baada ya kuachana naye

    Nenda kanisani mlikokuwa mnasali ukayatoe ya Moyon na Uombewe..vinginevyo hutafanya lolote Kimahusiano
  2. fredezekiel

    Yamenikuta leo, wanawake usiwaambie jambo lolote hata kama ni baya

    Bila shaka wewe ni Mtu wa Mwanza au Shinyanga
  3. fredezekiel

    Mtatuua jamani, vaeni chupi mtuepushie mabalaa

    Hahahahaaaaaa Hatari sana
  4. fredezekiel

    Nibaki na mwanaume yupi kati ya hawa?

    Nyoosha njia moja....toka apo njia panda
  5. fredezekiel

    Je, Mwanaume anaweza msahau mpenzi wa zamani baada ya ndoa?

    We shikilia ndoa yako Utashinda tu.
  6. fredezekiel

    Pesa kweli ni sukari ya warembo

    mimi nikizidisha ni 5000/=
  7. fredezekiel

    Nimekosa msichana kisa ndevu

    Kata Ndevu Panda Pesa...Hahahaaaaa
  8. fredezekiel

    Huyu ni mama yako, huu ndio wakati wa kumhudumia

    Swala ni Kujitambua tu...
  9. fredezekiel

    Nitaenda tena kanda ya ziwa kila likizo

    Kanda ya ziwa naskia wananukia harufu ya SAMAKI
  10. fredezekiel

    Siwezi kumsamehe muongo

    Ukiambiwa Ukweli kila siku utataman Uambiwe Uongo....Jaribu kusamehe kwa kila unaloelezwa na mwenz wako
  11. fredezekiel

    Wanawake mnataka nini ili mtulie?

    Mwanamke ata umfanyie nini hawezi kujifklia kwamba ndio isiwe sabab ya kukusaliti...wao huwa wanahisi kuwa wanawashwa sana kuliko sisi wakiume
  12. fredezekiel

    Migogoro ndoa za wasomi

    9.siku zote mwanamke kuwa mnyenyekevu katika ndoa yako Mkifanya hivyo ni ndoa yenu itakuwa yenye furaha tele na mtakuwa mfano wa kuigwa.
  13. fredezekiel

    Maandamano ya kupinga fujo za Mbowe, Mwanza

    Duuh!Kwaiyo saiz kila chama kina sehem yake?
Back
Top Bottom