Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,731
😀😀😀
Dah. Mkuu umeua.wewe member unajipa promo la mwendo kasi.sogea kule kwa Makapuku.
swissme
Mwenyeezi Mungu amekupenda saaaaana tena saaana "kwa kukuepusha na Masayibu ya zinaa..(Magonjwa/balaa/mikosi/njaa na ufakiri wa kudumu) !! You are luck... tafadhali FEAR GOD !!Hapana mkuu ila si unajua tena ujana wendawazimu, nimeweka madevu na imeshakuwa mazoea kwangu yaani hata nikienda saloon jamaa akizigusa tunagombana.
Sasa kumbe wewe pia hupendi mh! Ila kuondoa hii kitu kwangu ni vigumu rabda nikutwe na tukio zito zaidiHata mimi midevu kama steel wire big no sipendi japo sitafsiri ugaidi bali sipendi tuu naona kero. Kama ushajua kosa lako jiongeze aidha kwa kumpata atakaeyapenda au nyoaaaaaaaa, the choice is urs.
Epuka zinaa... Uhai na maisha bado mataamu kwa umri wako!!Umenena mkuu
BASI KUWA MPOLE UTAMPATA TU ANAEPENDA IL USIWE NA HARAKASasa kumbe wewe pia hupendi mh! Ila kuondoa hii kitu kwangu ni vigumu rabda nikutwe na tukio zito zaidi
Ulipokataliwa, ukazigusa ukajua tatzo lako ni hilo, mbona huyang'oi sasa??????![]()
![]()
madevu yakiwa mengi namna hii hata nikiishiwa mawazo au nikikwama jambo, nikizigusa tu napata akili mpya na kuona nashindwaje kidume mimi
Midevu ndo fresh labda hujawahi kusuguliwa na kidevu pande zako za hapo juu kidogo kwa bibiHata mimi midevu kama steel wire big no sipendi japo sitafsiri ugaidi bali sipendi tuu naona kero. Kama ushajua kosa lako jiongeze aidha kwa kumpata atakaeyapenda au nyoaaaaaaaa, the choice is urs.
Mkuu mambo haya yalinifikirisha sana na yote hii ni wale waliochinja wenzao ndio waliosababisha, yaani yule mtoto mpaka leo hii roho inaniuma sana nikikumbuka lile shepuHa ha ha
Mkuu nyoa ndevu ufaidi aiseeee, hii dunia watu siku hizi wako chonjo sana na uhai wao aiseee.
Una quote thread ndefu hivo maana yake nnAliangalia kwa wasiwasi tu. Wale wanakuwa na hayo madevu na alama nyeusi kwenye paji la uso.