fredezekiel
Member
- Mar 31, 2015
- 48
- 15
Ukiambiwa Ukweli kila siku utataman Uambiwe Uongo....Jaribu kusamehe kwa kila unaloelezwa na mwenz wako
acha uoga simamia ukweli, si nihiyo hiyo dini tunayo amini ndio kuwa mungu anajua ya jana, leo na kesho yako! sasa iweje mungu huyu akuumbe asijue kuwa ww lazima utakuwa muongo muongo tu toka on that day akuumbe? nijibu hapo ndio tuendeleeHapa ndipo walimwengu tulipofika
Sipendi uongo, simpend mtu muongo. Mtu bora aseme ukweli kuliko kunidanganya.
Nikigundua kama umenidanganya siwezi kusamehe hata kama umedanganya mara 1.Siwezi kumsamehe muongo, nakasirika sana mtu akiniongopea.
Je, ni kawaida kushindwa kusamehe? Nifanye nini ili niweze kusamehe kutoka moyoni?
Mmh kweli?Huyo ni njemba.
Nimeshtukia avatar yake bhana?Mmh kweli?
Hebu muite asemeNimeshtukia avatar yake bhana?
Nikimuita atanza kunikoromea na kutoa mapovu na kupandisha mashetani bhanaa,niliwahi kutoa rai kwa wanajamii, waache kuweka picha ya vitoto vya kike kwenye avatar zao,lakini naona mwendo ni ule ule,maana wanatumix bhana,imetokea mara nyingi najikuta nawatongoza halafu wananikoromea,jamani wanaume acheni hizo,mtakuja kufuatwa PM na kupewa mistari halafu ma babes wenu waone na kuwakimbieni.Hebu muite aseme
Tumeumbwa ktk hali ya dhambi lkn pamoja na hayo Mungu ametupa wepesi wa kuchagua tuonayo mazuri kweli sasa yeye hawezi kukujia physically akuonye,usitegemee kuna means ktk hilo na mbali na hiyo elimu ya magharibi unayoisema ambayo me sijui ni ipi kwenye hili,kuna kitu kinaitwa dhamira hii itakuonya tuu ktk njia zako hata km hujafunguliwa vitabu kufundishwa labda uipuuze hiyo dhamira,Mwenyezi Mungu sio mjinga yaani katukamilisha kila idara hakuna excuse kwa ulifanyalo ukisingizia wazungu/wamagharibi unapotea-JAPO SIO JUKWAA LA DINI,mnisameheacha uoga simamia ukweli, si nihiyo hiyo dini tunayo amini ndio kuwa mungu anajua ya jana, leo na kesho yako! sasa iweje mungu huyu akuumbe asijue kuwa ww lazima utakuwa muongo muongo tu toka on that day akuumbe? nijibu hapo ndio tuendelee
Ha ha haaa ukome naweweNikimuita atanza kunikoromea na kutoa mapovu na kupandisha mashetani bhanaa,niliwahi kutoa rai kwa wanajamii, waache kuweka picha ya vitoto vya kike kwenye avatar zao,lakini naona mwendo ni ule ule,maana wanatumix bhana,imetokea mara nyingi najikuta nawatongoza halafu wananikoromea,jamani wanaume acheni hizo,mtakuja kufuatwa PM na kupewa mistari halafu ma babes wenu waone na kuwakimbieni.
Nikawaida kwa kila Binadamu kutopendezwa na Uwongo,ila kuna wengine wameufanya uwongo kama maji kama hukunywaSipendi uongo, simpend mtu muongo. Mtu bora aseme ukweli kuliko kunidanganya.
Nikigundua kama umenidanganya siwezi kusamehe hata kama umedanganya mara 1.Siwezi kumsamehe muongo, nakasirika sana mtu akiniongopea.
Je, ni kawaida kushindwa kusamehe? Nifanye nini ili niweze kusamehe kutoka moyoni?
Sio hivo mamii,wanasababisha tatizo,na mimi nitaendelea kukoromewa tu na nasema tena nikoromewe tu maana hamna namna wamechoka,na mimi nisione tu picha,naanza kuwashobokea mpaka PM,hapooo sasa sikiliza kivumbi yakeeee weee,utafikiri nimetupia jiwe mzinga wa nyuki.Ha ha haaa ukome nawewe
He heee we jifanye moyo mgumuSio hivo mamii,wanasababisha tatizo,na mimi nitaendelea kukoromewa tu na nasema tena nikoromewe tu maana hamna namna wamechoka,na mimi nisione tu picha,naanza kuwashobokea mpaka PM,hapooo sasa sikiliza kivumbi yakeeee weee,utafikiri nimetupia jiwe mzinga wa nyuki.
Maana yake na mimi nimo saaana,yaani kila ngoma ikipita naingia nacheza,kumbe ngoma zingine sumu bhaana.Ha ha haaa ukome nawewe
Sasa ntajuaje? maana nikiona picha halafu text,inaonesha huyu atakuwa auntie fulani kumbe duuuuuh ni njemba,hapooo sasa inakuwa SOKOMOKO,lakini sio kosa langu inabidi nijibu mashambulizi mpaka BAN inanikuta paaaaaaaa.He heee we jifanye moyo mgumu
Bhana huyo kaumizwa tayari,muacheni atoe hasira zake na tumpe pole na kumuunga mkono,si unajua kuna wanawake na wanaume ambao huwatumia wenzao halafu kuwapiga chini?,basi huyu ndugu yetu ndio yamemkuta,haya mapenzi ya siku hizi mengi ni Mchina sio genuine,ukisha liwa watu wananawa mikono na kuondoka.Nikawaida kwa kila Binadamu kutopendezwa na Uwongo,ila kuna wengine wameufanya uwongo kama maji kama hukunywa
basi utakoga, lakini ukumbuke binadamu husamehe yana na ukiwa kama binadamu hakuna alokamilika aso hili analile japo chembe,wewe binafsi unamapungufu mimi nna mapungufu na mwengine vile vile,ila inategemea wewe vipi unamchukulia mwenzio mapungufu yake,ikiwa mwenyezi mungu tukimuomba anatusamehe kwanini wewe usimsamehe binadamu mwenzio? jaribu sana kujiombea Dua na muombe mwenyezi mungu sanaa akupe moyo wakusamehe nakusahau na uchukulie kama mitihani kutoka kwa mwenyezi mungu na vile vile ebu jaribu kujiweka wewe kwenye nafasi ya huyo alokukosea jee kama umekosea wewe hustahili kusamehewa? anza pole pole na una seem kua na Hasira usijikere..