Wanawake mnataka nini ili mtulie?

Wanawake mnataka nini ili mtulie?

money sio kila kitu ila inaleta security kubwa sana maishani.. hapa sijaongelea pesa tu bali ni benefits ambayo anaipata kuwa nae.. unafikiri beckham ni mjinga kufanya maisha na victoria, au beyonce na jayz, adaeze na joseph yobo.. au diamond na zari..

kuna benefits nyingi sana zinakuja sabab ya huo uhusiano.. kuliko ukichagua cute cute asiye na benefits...

kuna watu wanastic na ma genious ili wasaidie their business,

watu wengi wana stic na watu fulani sabab ya outstanding benefits

Outstanding benefit unamaanisha hela
 
Hahahahahahaha, sawa baba! Ngoja tufuate nyayo...
ukweli ni kuwa, mke nyumbani hafati chakula, magari ndugu zangu, ndoa inajengwa na kumbinua mkeo, hacha kumuonea uruma mbinue mpaka akojoe, itokee emegency kuwa labda kuna mambo hayapo sawa ndo umuache ila km mzima na mnampunga km wa mshikaji mbinue mkeo.mkojoze mnadhani JIDE Angekaa na Gadner kama hamkojozi? miaka 15? je wazaz wenu wana mda gani kwenye ndoa jiulizeni? mnafikiri mama zenu wanafanya kwa baba zenu ni kwa sababu tunawakojoza vizuri we unaesoma hapa jiulize una umri gani, ila mimi na mamako bado tupo pamoja unafikiri mimi nampa nini zaidi ya dudu?
 
money sio kila kitu ila inaleta security kubwa sana maishani.. hapa sijaongelea pesa tu bali ni benefits ambayo anaipata kuwa nae.. unafikiri beckham ni mjinga kufanya maisha na victoria, au beyonce na jayz, adaeze na joseph yobo.. au diamond na zari..

kuna benefits nyingi sana zinakuja sabab ya huo uhusiano.. kuliko ukichagua cute cute asiye na benefits...

kuna watu wanastic na ma genious ili wasaidie their business,

watu wengi wana stic na watu fulani sabab ya outstanding benefits
Ts not always abt benefits bana,ts having a person with a similar lifestyle, km hao ulotaja wote wako kwenye entertainment industry
 
Usiombe uoe mwanamke ambaye umalaya uko kwenye damu hata ungekuwa na pesa kama Bill Gates na mtalimbo wa haja na nguvu za kupiga shoo Mara tatu Kwa siku kama dozi ya panadol atachepuka tu na ukimfumania atamtupia lawama shetani kama kawa.
 
Duuuh nyie acheni tu waliowaza kujenga nyumba heshima kwao nyumba zinamengi hizi msione watu wanapendeza wanabadilisha magari
wameongozana wanakenua mimeno kila mtu anawatamami lakin kuna mazito yamejificha wa nje uwezi kuyajua hata yaaani msiwe wepesi tu wakuhukumu
 
Hahahahaa wengi huwa wanakimbilia et alipitiwa na shetani, nyambafu kabisa
 
ATTENTION! Mume kila siku yuko busy, magari na pesa haziwezi kureplace kazi inayofanywa na mb*o a.k.a dick.
 
Mvishe pete ya uchumba,Mtoe out weekends,Mpeleke movies,Mshike kiuno ,Mpe dushe kila akitaka,mkitembea alafu ulete mrejesho kesho hapa!
 
Jamani inakera!!! Inakera sana. Au tuanzishe mamlaka ya udhibiti wa ndoa Tanzania??
Ngoja niwape kisa chenyewe.

Kuna mdada mmoja yuko kwenye ndoa mwaka wa 6 huu sasa. Ana mume ni afisa wa serikali ambaye ktk awamu ya JK alikuwa akienda nje mara nyingi kama vile wewe na mm tunavyoenda bafuni kuoga. Kwa awamu hii ya JPM bado jamaa safari za mkoa kwa mkoa hazikatiki. Ana make pesa ya kutosha ktk mishe yake hiyo. Huyu dada aliolewa akiwa ****** kama ***** lkn mshikaji kampromote mpk mwaka jana kamaliza degree.

Nyumbani kwa mahikaji kuna gari NNE za kufanyia mitoko. Mara nyingi 3 huwa anazunguka nazo mke, maana mume hupendelea kuitumia mojawapo kwa masafa.

Sasa ndugu zanguni juzi kakutwa laivu akigegedwa na mshefa (mfanyakazi mwenzie). Ni mchovu tu hana chochote kainua kifua kwa kunyanyua vyuma visivyo na viwango.

Ndugu, jamaa na majirani tukaitwa kwenye mjadala huo. Dada hana anachojibu. Anabaki kumtupia mzigo shetani.

Daah! Inauma! Eeeh! Acheni jamani.

Mm nimekata tamaa kabisa. Kama dada anabadili gari kulingana na nguo aliyovaa, halafu anasaliti vipi mie kabwela ninayechekelea magari ya mwendo kasi? Nitaishia kuyasifu kuwa ni uroda na mke wangu ataliwa uroda.[/
Mkuu Binadamu sisi ni viumbe wa ajabu sana,niwachache utawakuta na busara,na sijui ni firkra zangu mimi lakini nahisi
mtu anapokua mbali na Muumba wake mengi ya kishetani humkuta,kwafano huyo dada kama maisha mazuri alhamdulillah,sasa hapo nini kilipungua? kama tatizo ni sita kwa sita mnakaa chini mnaongea "Mume wangu tu leo naomba tuongeze kidogo,au labda unaona sio vile ulivyozoweshwa na yule anaekuvutia bangi muelimishe vipi unapenda,
ila huyo kaona bora sasa akahonge yeye manake kama bwana unaemtaka hana na service yake unaitaka nilazima
ununue lakini unajitia nimekupa,sasa fedhea imempata pakuweka sura hana...
 
Mwanamke ata umfanyie nini hawezi kujifklia kwamba ndio isiwe sabab ya kukusaliti...wao huwa wanahisi kuwa wanawashwa sana kuliko sisi wakiume
 
KAKA NI NGUMU SANA KUWAELEWA WANAWAKE WANACHORIDHIKA NACHO. HATA UFANYE NINI NI KAZI BURE KABISA! UTAFIKIRI MUNGU KAWAPUNGUZA UFAHAMU ILI WADANGANYIKE KIRAHISI. HAIJALISHI KIWANGO CHA ELIMU, HADHI AU WADHIFA. WOTE BURE KABISA
 
Back
Top Bottom