Mumeo kakupa ndoa kakupa maisha yake yote kakupa mwili wake moyo wake ndoto zake wewe unafanya ujinga zawadi au malipo unayopaswa ulipwe ni moja tu kifo ndio malipo ya msaliti yeyote yule duniani
hivi sisi wa tanzania tumerogwa wewe ukitaka kujua kama umepiga hatua ni rahisi sana jilinganishe na mtu mliokuwa nae sawa kiuchumi wakati mnaanza yeye yuko wapi saivi na wewe uko wapi saivi ila kwa kukupa tu taharifa nikwabie kwamba wale tulikuwa nao uchumi sawa wametuzidi mara mia zaidi sisi...
we ----- kweli mbona ushangai sasaivi analindwa na usalama wa taifa na polisi wakati hao walikuaga maaduhi wakubwa wa dr sasa huu uhusiano hadi wa kumlinda umeanza lini!!
hebu fikirisha kidogo ubongo wako maana kadri siku zinavyozidi kwenda watu wanazidi kukengeuka na itafika wakati hitaji la dunia litakuwa watu wanataka ushoga kwahio kanisa nalo litabidi kubadirisha sheria zake ili kwenda na wakati!!
natafuta fedha kwajir ya career yangu kwajir ya familia yng kwajir ya jamii yng inayonozunguka na taifa kwa ujumla ila sio nionekane mfalme kwa wanawake na upuuzi mwingine huo ujinga acha wafanye hao wanyoa viduku wasiojielewa
Mkuu umeandika kwa uchungu sana na ni busara tupu ila hao vijana ambao umewaandikia hawewezi kuja kusoma huu uzi watapita tu ila ungeandika kuhusu diamond na zari au kati ya ali kiba na diamond nani mkali ungeona wingi wa ajabu kweli vijana wa kizazi hichi ni mzigo
utaendelea kuwa mchuuzi dar mpaka unakufa, rejea shahiri la darasa la 4 ukitaka mali yapatikana shambani mmejazana dar kufanya vitu ambavyo haviadd value ndomana shilingi yetu inashuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.