Mwendo huu sidhani kama tutafika, tukipishana jambo kidogo tu kasusa

Mbn wanawake wengi wanakatabia hako cha mdeko?Huyo anataka umpetipeti.wanawake 2napenda deko we mbembeleze na maneno matamu hlf mgonge vitatu fastafasta uone km minuno haijaisha!
 
Kupendwa raha bwana weeh. Halafu na wewe mpenzi akisusa si unambembeleza? Halafu unaunganishia nanihii hapo hapo. Weeh zubaa tu. Unaona threat wenzio tunaona opportunity

hahahahahahah,mkuu King'asti unaona picha kaaaalii mpenzi akisusaa eeh
 
Last edited by a moderator:
Mbn wanawake wengi wanakatabia hako cha mdeko?Huyo anataka umpetipeti.wanawake 2napenda deko we mbembeleze na maneno matamu hlf mgonge vitatu fastafasta uone km minuno haijaisha!

Naam hii ndio dawa kumbee...Ni kweli baada ya show utaratibu umerejea mahala pake
 
Nimekuanae kwa takribani mwezi mmoja na nusu sasa. Yuko very romantic, sweet tender loving! Cha kushangaza najihisi kama nashindwa kumzoea hivi maana kila tukipishana kwa jambo hata liwe dogo kiasi gani basi anakuwa kama kasusa.

Indirectly tukilizungumzia tatizo tukamaliza anadai yuko sawa ila kimtindo kunakuwa na mis-treatment flani anayoidhihirisha hata kwa kauli tu, inakuwa kama namlazimisha kuongea ikiwa yeye hana hamu tena ingawa anakuwa ananijibu on time.

Nimekuja kwenu wanajamvi, kama kuna mtu ana uzoefu na aina hii ya wanawake.Tunaishi nao vipi jamani? How to deal with it! Naona kama nitashindwa kukaza, sijazoea.

Ni kabila gani tuanzie hapo maana mambo mengine yanahusiana na hasiri ya mtu
 
duh umenkmbusha mi nlikua na dem wa ivo nmekaa nae tangu mwezi wa8 mwaka jana tumetemana mwanzo wa mwezi huu. Alikua ananuna sana, wivu gunia zima, na kero nyingine kibao
 
duh umenkmbusha mi nlikua na dem wa ivo nmekaa nae tangu mwezi wa8 mwaka jana tumetemana mwanzo wa mwezi huu. Alikua ananuna sana, wivu gunia zima, na kero nyingine kibao

Aah Tembo2 kudadadekii huyo waku alikuwa supa msumbufu
 
Last edited by a moderator:
Mbn wanawake wengi wanakatabia hako cha mdeko?Huyo anataka umpetipeti.wanawake 2napenda deko we mbembeleze na maneno matamu hlf mgonge vitatu fastafasta uone km minuno haijaisha!

Anaznguaga ila anatulia sometimes Nandorim
 
Last edited by a moderator:
Hebu siku moja fanya kumignore ukiona anaendelea ujue huyo ana kisirani cha asili, kuna watu visirani asikwambie mtu, kukasirika na kuzira ndio kawaida yao, inatakiwa ujiandae kisaikolojia kudeal nae
 
Kama huna addiction of self esteem hao watu kudeal nao its very easy!

But if you have addiction it only takes an hour to let her go and then a week to delete all of her memories in your head!

I have that addiction!!
 
hivi viumbe ni hatar sana na vimejaa maigizo. usimwendekeze peleka kijeshi kwnz mana atakubuluza ukimdekeza.
 
Back
Top Bottom