Tusaidiane hapa

Tusaidiane hapa

Fanya maandalizi yako mwenyewe. Jijenge kuwa mume na baba bora kwa familia yako. Jijenge kujiandaa na maisha ya ndoa.

My point; Ukifika wakati wa kuoa, hutohitaji kuorodhesha wanawake wanne wa kuoa. Ukifika muda wa kuoa, utamjua!

Usijistress sana kuchagua na kuuliza kwa watu..ukishaona mtu unahitaji kumwombea ushauri kwa watu, jua WITO BADO!!!
Ntazingatia ushauri wako mkuu,,,thanx alot for concer
 
Fanya maandalizi yako mwenyewe. Jijenge kuwa mume na baba bora kwa familia yako. Jijenge kujiandaa na maisha ya ndoa.

My point; Ukifika wakati wa kuoa, hutohitaji kuorodhesha wanawake wanne wa kuoa. Ukifika muda wa kuoa, utamjua!

Usijistress sana kuchagua na kuuliza kwa watu..ukishaona mtu unahitaji kumwombea ushauri kwa watu, jua WITO BADO!!!

hv ni kwek enhee but axante nimejifunza k2.
 
hapo hakuna hata mmoja anaefaa kuwa mke kwako, kwani ww ndo haufai kuwa mume kwa yeyote isipokuwa una mpango wa kutengeneza watoto wa mitaani, kwanza wanajua kam upo jf??? wanawake wa jf angalieni inaweza mkawa ndo ninyi
 
dogo jirushe kwanza,,, ukifika 30 ndo anza kufikiria hizo habari,,, we kimbilia tuu...utakuja kutuambia yaliyomo.
 
hapo hakuna hata mmoja anaefaa kuwa mke kwako, kwani ww ndo haufai kuwa mume kwa yeyote isipokuwa una mpango wa kutengeneza watoto wa mitaani, kwanza wanajua kam upo jf??? wanawake wa jf angalieni inaweza mkawa ndo ninyi
 
hapo hakuna hata mmoja anaefaa kuwa mke kwako, kwani ww ndo haufai kuwa mume kwa yeyote isipokuwa una mpango wa kutengeneza watoto wa mitaani, kwanza wanajua kam upo jf??? wanawake wa jf angalieni inaweza mkawa ndo ninyi
 
hapo hakuna hata mmoja anaefaa kuwa mke kwako, kwani ww ndo haufai kuwa mume kwa yeyote isipokuwa una mpango wa kutengeneza watoto wa mitaani, kwanza wanajua kam upo jf??? wanawake wa jf angalieni inaweza mkawa ndo ninyi

Asante kwa ushauri murua,,,keep it up
 
Uzi huu ni mgumu...
Soln:
tafuta vijiwe vya kahawa au wacheza bao ukifika wasimulie, then utajua umuoe yupi.. maana mm nilikuwa nao 31 nikashauriwa nikaoa 1tu kati yao
 
Kuna uzi mmoja hukooo... kuna mwanaume kasema wanawake wote malaya.
Naona wanaume wasafi kumbe wapo.
 
Uzi huu ni mgumu...
Soln:
tafuta vijiwe vya kahawa au wacheza bao ukifika wasimulie, then utajua umuoe yupi.. maana mm nilikuwa nao 31 nikashauriwa nikaoa 1tu kati yao
Asante kwa ushauri mzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom